ENJOY FREE DELIVERY WITHIN NAIROBI FOR ORDERS ABOVE 8,000
HELP / SUPPORT

0794 233 261

Mucemi Gakuru
Mucemi Gakuru

Mucemi Gakuru

  • No ratings found yet!

Nzi Mlafi by Mucemi Gakuru

KShs350.00 KShs300.00
Nzi-Mtoto alizaliwa kwa Nzi-Chifu na akawa mlafi sana, hadi wakamwita Nzi-Mlafi. Alionywa mara nyingi kupunguza ulafi lakini kila mara alitawaliwa na tamaa. Mwishowe, aliuawa na kiasi kikubwa cha chakula alichokula. Kitabu cha Nzi Mlafi kinaeleza zaidi kuhusu tabia nzuri kwa watoto. Kinaonyesha madhara yatakayompata mtu asiyekua na maadili mema. Vilevile kinaelimisha, kinaburudisha na kuadilisha.

Kinyonga by Binti Omar

KShs350.00 KShs300.00
Kinyonga alishangaa kuona upinde wa mvua ukiwa na rangi za kupendeza. Rafiki yake Mwewe, alikubali kumpeleka kwenye upinde, walipokuwa juu alifurahi sana mpaka akapoteza utulivu. Alishindwa kumshikilia Mwewe, akatumbukia kwenye upinde na kuanguka chini. Kitabu cha Kinyonga kina mafunzo mengi kwa watoto. Aidha kitaboresha usomaji na kumuwezesha msomaji kutambua majina ya baadhi ya wanyama, ndege na wadudu. Pia kinafunza kuhusu rangi za upinde.

Yananiandama na Hadithi Nyingine

KShs550.00 KShs450.00

Yananiandama na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

Jeff Mandila ni mmoja wa waandishi wanaoinukia kwa kasi mno. Ni mwandishi wa riwaya, tamthilia na hadithi fupi kando na utunzi wa mashairi. Alizaliwa karibu na mji wa Kitale mwaka wa 1985. Alijishindia tuzo ya Wahome Mutahi 2012 baada ya riwaya yake ya Sikitiko la Sambaya kuibuka ya kwanza.

 

Geoffrey Mung’ou ambaye pia ni mwandishi wa riwaya ya Mkakasi ni mhariri katika Shirika la Habari la Standard. Ana shahada katika kitivo cha Elimu (Kiswahili na Historia-Chuo Kikuu cha Kenyatta). Ametoa mchango mkubwa kuhusu Kiswahili katika vyombo vya habari, kwenye makongamano na shuleni. Aidha, amekuwa mwalimu wa somo la Kiswahili katika shule kadhaa za upili nchini Kenya. Mbali na kazi hizi za fasihi, ameibukia na vitabu adhimu kuhusu fani nyinginezo za lugha.

Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine

KShs600.00 KShs495.00

Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

Kikechi Kombo B. ana Shahada ya elimu na sanaa na shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ni mwalimu mwenye tajiriba pana katika lugha na fasihi ya Kiswahili kwa miaka mingi. Hushiriki uchambuzi wa lugha na fasihi katika Idhaa ya Radio Taifa- KBC. Ameandika vitabu vya marudio katika lugha ya Kiswahili na miongozo tolatola mathalan mwongozo wa Chozi la Heri, mwongozo wa Kigogo, mwongozo wa Kidagaa Kimemwozea na mwongozo wa Mstahiki Meya. Amechangia pia katika kitabu cha marudio cha Kioo Cha KCSE, Mwongozo wa Nguu za Jadi na Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine miongoni mwa vitabu vingine.

 

Kenna Wasike ni mwandishi wa kazi za fasihi. Ameandika kazi aula za bunilizi. Aidha, amechangia katika uandishi wa hadithi fupi. Hadithi yake maarufu ni ‘Mapenzi ya Kifaurongo’ katika mkusanyiko wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Vilevile, amechangia katika uandishi wa kitabu cha marudio ya fasihi. Kwa sasa yeye ni mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya wavulana ya Chesamisi iliyoko gatuzi la Bungoma nchini Kenya.

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine

KShs450.00 KShs395.00

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

     

The Children of the Rain and Other St...

KShs450.00 KShs395.00
The Children of the Rain and Other Stories is a collection of short stories that explore themes of social, cultural, economic, political and spiritual aspects of modern life.

These stories are colourfully narrated in a charming and fast moving chronicle about noticeable issues that are close to many people’s emotions. The issues include love, school, family, relationships and diseases among many other contemporary concerns.

The stories unveil a great deal of originality with a striking style.

 

The book is a must read for students and junior readers.

 

The Light Christian Religious Educati...

KShs1,000.00 KShs950.00
The book is designed to cater for CRE students preparing for the KCSE examination. It covers examinable areas of CRE paper one work with topical model questions and answers which are derived from past KCSE examinations.

The Light Christian Religious Educati...

KShs1,000.00 KShs950.00
The book is designed to cater for CRE students preparing for the KCSE examination. It covers examinable areas of CRE paper two work with topical model questions and answers which are derived from past KCSE examinations.

Rotten Apples by Oumah Otienoh

KShs450.00 KShs380.00
In a city where information flow and opinion is controlled by a few, nascent and talented writers are struggling to find their place among the crafty elite. The battle lines are clearly drawn between who is a better writer and who has the wherewithal to publish their work. Drama unfolds within the fourth estate in Nadabi, disclosing hidden skeletons some too dark that ruin the lives of the major characters. In Rotten Apples, the playwright artistically uses his cruel sharp pen to expose the raw doings and misdoings of the fourth estate and the academia. The writer hopes that none will crush after reading this play and if such an incident may occur, Allah should rest such wicked souls in eternal hellfire.

Mwongozo wa Bembea ya Maisha by John ...

KShs450.00 KShs380.00
Madhumuni ya kuandika kitabu hiki ni kumrahisishia mwalimu na mwanafunzi kazi na kumpa mwelekeo unaofaa. Kitabu hiki kimeangazia masuala ibuka katika utahini wa karatasi ya tatu ya Kiswahili katika mtihani wa KCSE. Kitabu hiki kimejumuisha vipengele saba vya uhakiki wa fasihi andishi kama vile; Ploti ya tamthilia, dhamira ya mwandishi, mandhari na umuhimu wake, ufaafu wa anwani, maudhui, wahusika na uhusika na mbinu za lugha. Maswali ya udurusu pia yamejumuisha katika kila mwisho wa onyesho ambayo yatamsaidia mwanafunzi kujinoa na kujipima ratili uelewa wake wa ploti. Maswali ya kiwango cha kitaifa pia yamejumuisha pamoja na majibu yake. Masuala ibuka kama vile umuhimu wa wahusika, mbinu za kimtindo, aina za takriri, aina za taswira, na vipengele vingine.

Vumba by Hassan Mwana wa Ali

KShs700.00 KShs600.00
Haya ni "MAISHA YA MJINI" yenye wingi wa misururu ya visa na mikasa...Ndilo VUMBA hilo la maisha! Au ni SHOMBO? Litatakaswa na nani? JE, TUFANYEJE? Safari inang'oa nanga sasa. Safari yenye pandashuka ya maisha. Haya mjukuu wangu! keti kitako, ubwabwa koponi, kitabu mkononi!

The fundamentals of ICT by Mucemi Gakuru

KShs1,600.00 KShs1,500.00
This book discusses the various ICT systems and the underlying technologies comprehensively, albeit not in a detailed manner, to make users and potential developers of ICT products appreciate the scope of ICT and what it involves. It is not intended for advanced ICT practitioners but may serve them as a reference text and generally assist in expanding the readers’ scope of knowledge. Depending on their strengths, the book will be of great use to all users in the ICT arena, including but not limited to students in high schools, tertiary institutions and institutions of higher learning.
delivery

QUICK DELIVERY

Swift dispatch

ONLINE PAYMENT

Multiple options

EXPERT SUPPORT

Help when you need it

WIDE VARIETY

Thousands of books

GLOBAL SHIPPING

Worldwide delivery

Shopping cart
Sign in

No account yet?

Shop
0 Wishlist
0 items Cart
My account