Showing all 5 results

Oxford School German Dictionary

KShs35,000.00
This updated edition is ideal for students learning German at primary school and into their first years in secondary school. Clear and easy to use, it is a quick and easy way to expand students' knowledge of German words and phrases. The full verb tables help with recognising different tenses and building confidence. n nFeatures n
    n
  • Easily find words and translations quickly.
  • n
  • hundreds of examples, phrases and idioms help with speaking and writing Spanish correctly.
  • n
  • special section on everyday life and culture.
  • n

Compact Oxford Hachette French Dictio...

KShs50,000.00
French-English and English-French Dictionary n
    n
  • Over 90,000 words and phrases, and 120,000 translations.
  • n
  • All the words you need for everyday use, are based on evidence in both English and French from the Oxford Languages Tracker, part of Oxford's renowned language research programme.
  • n
  • Discover more on oxforddictionaries.com, Oxford's home for dictionaries and language reference.
  • n
  • Usage notes help you find the right translation quickly.
  • n

Sauti ya Dhiki

KShs13,500.00
Diwani hii - inayosheheni mashairi kuhusu utamaduni, mapenzi, nasaha, siasa, mambo ya kinyumbani, n.k. - ilitungwa baina ya 1969 na 1972 ambapo mtunzi alikuwa kifungoni baada ya kupatikana na hatia ya kuwachochea watu ili waipindue Serikali ya Kenya kwa kutumia silaha. Kwa hivyo, unapoisoma diwani hii hutaweza kujizuia kuona athari ambayo kifungo huweza kuwa nayo kwa mfungwa. n nJambo la maana sana kuhusu diwani hii ni kwamba mtunzi ameweza kuzungumzia mambo ya kisasa, kama alivyofanya katika shairi la 'Usiniuwe!', bila kupotoka na kutafuta mifano ya kigeni. Hili ndilo lililompa Shihabuddin Chiraghdin, mmoja wa wataalamu mashuhuri wa lugha ya Kiswahili, kusema katika utangulizi wake kwamba, ingawa mtunzi ameingiliwa na athari za kigeni kwa ajili ya elimu aliyoipata shuleni, 'hakukubali kuzongwazongwa na athari hizo, hivyo mashairi yake hayana maingilio ya miundo ya kigeni hata chembe, na mawazo yake yote yameambatana na Uswahili na Uafrika kwa jumla'. n nKitabu hiki kitawafaa wale wapendao kusoma mashairi ya Kiswahili ya kiwango cha juu, na vilevile wanafunzi wa fasihi ya Kiswahili katika shule za sekondari na vyuo vikuu.

Nyota ya Rehema

KShs11,000.00
Kwa nini Rehema alizaliwa tofauti na wazazi wake . . . ? Kwa nini alichaguliwa yeye kuwa ni ‘fumbo’? n nla maumbile . . . ? Na kwa nini alifika duniani pale mama yake alipokuwa kapigwa na bumbuazi; baba yake yu katika hali iliyoelezewa kuwa huwafanya walioweka ahadi wazivunje, mashujaa wapoteze nguvu zao, matajiri wajione wahitaji, wenye macho wageuke pofu . . . ? Lakini hiyo ndiyo nyota ya Rehema. n nllichomoza pale tete ya uzazi ilipotunga tumboni mwa mamaye. llimwongoza katika kiza cha majaaliwa– njia ya lazima kwa kila mja–akaifuata pasi na hiari. Vioja na vituko, siku nenda siku rudi, mpaka hatimaye amri isiyopingika ikasema, ho! Hapo ndiyo mwisho . . . .

Introduction to East African Poetry

KShs20,000.00
Author: Jonathan Kariara ISBN: “9780195723793”