Safari ya Mauti

KShs1,000.00 KShs800.00
"Kupotea Njia, Kujua Njia: Safari ya Mauti Yenye Uchambuzi wa Kisasa!" Je, umewahi kujikuta ukisafiri katika njia usioijua? Kitabu hiki kinasimulia hadithi ya binadamu katika maisha yake yenye changamoto nyingi. Kutoka kwenye sura yake, maumbile, hadi hisia zake, riwaya hii inazingatia maudhui ya kisasa yanayowakumba watu leo kama vile Elimu, Ufisadi, Siasa, Dini, Tandavu, Teknolojia, na Mapenzi. Kwa ustadi wa kipekee, mwandishi Bw. Gitonga ameumba fasihi tamu iliyojaa utajiri wa tafiti. Kupitia maneno yake yenye mvuto na lugha iliyokochwa vizuri, kitabu hiki kimejaa mafunzo na ufahamu wa kina. Hivyo basi, njoo ujiunge na safari hii ya kusisimua kwenye baraste za maisha, ambapo kupotea kwako kutakuwa ndiyo mwanzo wa kugundua njia sahihi. Jifunze kutokana na uzoefu wa wahusika na pambana na changamoto za leo kwa hekima na maarifa. Usikose fursa ya kujipa kipindi cha kusisimua na kutafakari! Nunuani kitabu hiki katika maduka ya vitabu ili upate kugundua mengi zaidi kutoka kwenye Safari ya Mauti yenye kuleta nuru katika giza la maisha yetu.

Hatima Yangu by Matata Hassan

KShs850.00 KShs699.00
Hatima Yangu inamulika masuala muhimu yanayoikumba jamii ya sasa. Uhalisia wa riwaya hii unaifanya kua ya kipekee katika kuhamasisha jamii.