Showing all 7 results

Kichala cha Ushairi by Nickson Hamisi

KShs630.00 KShs599.00
Kichala cha Ushairi kimeshughulikia BAHARI na AINA zote za mashairi na pia kimeshughulikia maswali yote ya mitihani ya KITAIFA KCSE kwanzia mwaka 2007-2023 na mwongozo wake.

Walanyama na Mashairi Mengine by Ken ...

KShs800.00 KShs650.00
WALANYAMA ni diwani la mashairi yanayoonyesha taswira ya jamii ya sasa. Jamii ambayo imetawaliwa na dhulma, unyanyasaji, unafiki na jinsi mapenzi yamekosa maana kwa kuyapuuza maswala ya jadi. WALANYAMA ni nyenzo ya bahari mbalimbali za ushairi zilizoshughulikiwa kwa ukamilifu kwa manufaa ya jamii yote ya ulimwengu.