Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine

-12%

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine

KShs450.00 KShs395.00

Purchase this product now and earn 4 Points!

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

 

 

 

Availability: In stock

Description

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

 

 

Reviews

There are no reviews yet.


Be the first to review “Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine”

Vendor Information

  • Store Name: Mucemi Gakuru
  • Vendor: Mucemi Gakuru
  • Address: Chania Avenue
    Nairobi
    Nairobi County
    00200
    Kenya
  • No ratings found yet!
You've just added this product to the cart: