Kelvin Munene

Kelvin Munene

  • No ratings found yet!

Kicheko cha Dhiki

KShs650.00 KShs550.00
Kicheko cha Dhiki ni tamthilia ya uongozi. Inamulika hali halisi ya mataifa mengi ya kiafrika.

Mitego ya Kisasa na Hadithi Nyingine

KShs700.00
  1. Mitego ya Kisasa na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili. Hadithi hizi ni taswira ya hali halisi ya jamii ya kisasa. Antholojia hii imeandikwa kuafiki watu wa umri wowote kutokana na lugha tutumbi iliyotumika pamoja na usahili wa visa hadithini. Ni kazi maridhawa kwa wanafunzi wa sekodari, vyuo vikuu na wenye ari ilhamu ya kujifunza lugha ashirafu ya Kiswahili.
  Maudhui aina ainati yameshughulikiwa . Baadhi yao ni; unafiki, wizi, dini, mapenzi na ndoa, ushirikina na mazingaombwe, uongozi mbaya, siasa, nafasi ya vijana na akina mama katika jamii n.k
delivery

QUICK DELIVERY

Swift dispatch

ONLINE PAYMENT

Multiple options

EXPERT SUPPORT

Help when you need it

WIDE VARIETY

Thousands of books

GLOBAL SHIPPING

Worldwide delivery

Shopping cart
Sign in

No account yet?

Shop
0 Wishlist
0 items Cart
My account