Utafiti umedhihirisha kuwa matokeo ya ushairi wa kiswahili miongoni mwa wanafunzi umekuwa ukidorora siku baada ya siku kutokana na madai kuwa ushairi ni utanzu mgumu ulio na istilahi nyingi tatanishi. IMARISHA USHAIRI ni kitabu kinachochanganua ushairi wa kiswahili kwa njia rahisi na ya kuvutia. Kimefafanua ushairi kwa kina na kutoa vielelezo vya kutosha. Isitoshe, kimekusanya msururu wa mitihani ya kitaifa; maswali pamoja na majibu