Matata

Matata

  • No ratings found yet!

Sauti Za Washairi by Matata Hassan

KShs700.00 KShs550.00
Diwani hii ni kamilifu katika kukuza lugha ya mwanafunzi pamoja na kumtayarisha katika mtihani wake wa kitaifa. Ndani ya diwani hii, mwanafunzi atakumbana na maelekezo kamili kama vile Sifa mbali mbali za mashairi, bahari, jinsi ya kuutumia Uhuru wa mshairi, Pasona/nafsi neni, lugha ya nadhari na mengine mengi. Fauka ya hayo, mwanafunzi pia atakumbana na maswali na majibu ya mtihani wa kidato cha nne yatakayomsaidia katika kujiweka tayari na mtihani huo. Kwa kifupi, diwani hii ni chombo tosha kinachostahili kuabiriwa sio na mwanafunzi tu bali hata mwalimu anayepania kuwatayarisha wanafunzi vilivyo.
delivery

QUICK DELIVERY

Swift dispatch

ONLINE PAYMENT

Multiple options

EXPERT SUPPORT

Help when you need it

WIDE VARIETY

Thousands of books

GLOBAL SHIPPING

Worldwide delivery

Shopping cart
Sign in

No account yet?

Shop
0 Wishlist
0 items Cart
My account