Lello Mmassy

Lello Mmassy

  • No ratings found yet!

Mimi Na Rais (The President and I) by...

KShs1,200.00
Joseph Kaduma, Shushushu na Mwanadiplomasia nguli anaingia katika sintofahamu kubwa kati yake na Rais Sylvester Costa wa Jamhuri ya watu wa Stanza.Joe, kama wengi walivyozoea kumuita serikalini ni muhanga kama walivyo wengi nchini humo kutokana na utawala dhalimu, usiozingatia misingi ya utawala bora na haki, uliojaa rushwa na unyanyasaji wa kila aina chini ya Rais Costa. Katika kuaminiwa kimashaka na Rais Costa, Joe anapewa kazi ya kurudisha mahusiano ya kidiplomasia kati ya Stanza na Korea Kaskazini na akiitumia nafasi hii yeye akiongoza baadhi ya marafiki zake waliopo ndani ya serikali na Idara ya Usalama wa Taifa wanaamua kujaribu kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchini Stanza. Rais Sylvester Costa anawashtukia na hapo anaanza kuwawinda Joe na genge lake lote ili alimalize kwa kutaka kuleta usaliti dhidi yake. Joe anaingia kwenye vita kubwa ya kuokoa maisha yake, familia yake, rafiki zake na mali zake dhidi ya mkono wa Rais dhalimu Sylvester Costa. Ni ama yeye ama Rais.
delivery

QUICK DELIVERY

Swift dispatch

ONLINE PAYMENT

Multiple options

EXPERT SUPPORT

Help when you need it

WIDE VARIETY

Thousands of books

GLOBAL SHIPPING

Worldwide delivery

Shopping cart
Sign in

No account yet?

Shop
0 Wishlist
0 items Cart
My account