TUNDA ni diwani ya mashairi mia Moja, yaliyotungwa kwa kufuata arudhi na pia Kuna mashairi huru mle. Mashairi haya mbali na kutumbuiza, yamejadili maswala mbali mbali katika jamii kwa njia inaelimisha na kutumbuiza
This is a collection of scintillating motivational essay whose purpose is to inspire and I still self- confidence in the journey and search for wholesome success.
Riwaya hii inasimulia vituko vya Biandis katika Jimbo la Aboke, aliyedai kuwa ni walii wa Mungu. Hulka zake lakini zilikiuka kaida za uwalii wa Mungu. Wazee wakabaki kuduwaa.