Isaac Wambedha

Isaac Wambedha

  • No ratings found yet!

Mwongozo wa BEMBEA ya Maisha

KShs400.00 KShs350.00
Ni mwongozo wa kumsaidia mwanafunzi kuchambua Tamthilia ya BEMBEA ya Maisha kwa mujibu wa wahusika, sifa za wahusika, fani, dhamira, msuko na maudhui

UDURUSU WA FASIHI SIMULIZI

KShs400.00 KShs350.00
Ni mwongozo mwafaka wa kuelekeza uchambuzi wa Tanzu na vipera mbalimbali vya Fasihi SIMULIZI.

Mwongozo wa MAPAMBAZUKO YA MACHWEO na...

KShs500.00 KShs450.00
Huu ni mwongozo tu. Utamsaidia mwanafunzi katika ufundi wa kuchambua HADITHI fupi za diwani ya MAPAMBAZUKO YA MACHWEO. Inasisitizwa kwamba mwanafunzi asome kwa kina hadithi zote kwanza ndiposa atumie mwongozo huu. Bila hiyo ni kazi bure. Mwongozo ni ramani tu. Msafiri asipofunga safari, hafiki popote.

NITAAMINI NIONAPO

KShs1,000.00 KShs900.00
Wema hukuza mema, mikosi na tufani za maisha zilimnyang'anya Stella wazazi. Akajikutamikonono mwa wenyeji walalahoi. Nap wakamuani. Hatua kwa hatua alipanda ngazi kwa usaidizi wa kijana Ombaomba. Akawa awika ndani na nje ya nchi kupitia talanta yake.

DOGS MUST BE CRAZY

KShs1,000.00 KShs950.00
The narrator takes us through the comic extremities of his sojourn in the lakeside city of Kisumu, where he meets Mr. Okello, his late father's friend. Okello's entertaining reception sheds light on the systems on the ground that leaves one in stitches.

FILAMENTS OF GRACE

KShs850.00 KShs800.00
This is a collection of entertaining and educative poems. Simple in approach but excites some deep thinking to unearth the hidden value or message

WOSIA WA ALI NA HADITHI NYINGINE

KShs900.00 KShs800.00
  1. Hii ni diwani ya HADITHI kumi na tatu za kusisimua. Kila HADITHI imejadili maswala. mbalimbali lakini kwa lugha rahisi inayoeleweka haraka na kutumbuiza. Kila HADITHI ichambuliwe kivyake

TUNDA by Isaac Wambedha

KShs900.00 KShs800.00
TUNDA ni diwani ya mashairi mia Moja, yaliyotungwa kwa kufuata arudhi na pia Kuna mashairi huru mle. Mashairi haya mbali na kutumbuiza, yamejadili maswala mbali mbali katika jamii kwa njia inaelimisha na kutumbuiza

DIVINE SUCCESS by Isaac Wambedha

KShs900.00 KShs800.00
This is a collection of scintillating motivational essay whose purpose is to inspire and I still self- confidence in the journey and search for wholesome success.

SUMU YA PANYA by Isaac Wambedha

KShs1,000.00 KShs900.00
Riwaya hii inasimulia vituko vya Biandis katika Jimbo la Aboke, aliyedai kuwa ni walii wa Mungu. Hulka zake lakini zilikiuka kaida za uwalii wa Mungu. Wazee wakabaki kuduwaa.
delivery

QUICK DELIVERY

Swift dispatch

ONLINE PAYMENT

Multiple options

EXPERT SUPPORT

Help when you need it

WIDE VARIETY

Thousands of books

GLOBAL SHIPPING

Worldwide delivery

Shopping cart
Sign in

No account yet?

Shop
0 Wishlist
0 items Cart
My account