Showing all 7 results

Yananiandama na Hadithi Nyingine

KShs550.00 KShs450.00

Yananiandama na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

Jeff Mandila ni mmoja wa waandishi wanaoinukia kwa kasi mno. Ni mwandishi wa riwaya, tamthilia na hadithi fupi kando na utunzi wa mashairi. Alizaliwa karibu na mji wa Kitale mwaka wa 1985. Alijishindia tuzo ya Wahome Mutahi 2012 baada ya riwaya yake ya Sikitiko la Sambaya kuibuka ya kwanza.

 

Geoffrey Mung’ou ambaye pia ni mwandishi wa riwaya ya Mkakasi ni mhariri katika Shirika la Habari la Standard. Ana shahada katika kitivo cha Elimu (Kiswahili na Historia-Chuo Kikuu cha Kenyatta). Ametoa mchango mkubwa kuhusu Kiswahili katika vyombo vya habari, kwenye makongamano na shuleni. Aidha, amekuwa mwalimu wa somo la Kiswahili katika shule kadhaa za upili nchini Kenya. Mbali na kazi hizi za fasihi, ameibukia na vitabu adhimu kuhusu fani nyinginezo za lugha.

Honey Comb – 1Kg

KShs2,500.00 KShs2,000.00
Comb honey delivers the benefits of honey at its most natural form we produce this product from our special comb honey supers. • A good source of antioxidants • Antibacterial and antifungal properties • Heal wounds • Help for digestive issues • Soothe a sore throat

Beekeepers Starter Kit 10 Cab Hives

KShs239,999.00 KShs228,000.00
Key Features Beekeepers Starter Kit 10 Cab Hives • 10 Cab hives • 2 bee suits • 2 pairs of glove • 1 smoker • 1 Hive tool • 3/6 frame stainless extractor manual • 1 bee brush • 1 uncapping fork • 1 double strainer • Hive stands • Installation

Natural Honey with Comb The Hive

KShs2,500.00 KShs2,000.00
Comb honey delivers the benefits of honey at its most natural form we produce this product from our special comb honey supers. • A good source of antioxidants • Antibacterial and antifungal properties • Heal wounds • Help for digestive issues • Soothe a sore throat

Box Hive Mzinga ya Nyuki

KShs5,999.00 KShs5,700.00
Key Features • Vertically hung bars • Bottom board with entrance for the bees • Increased the space between the super frames by fitting 11 frames opposed to the standard 10 frame , so as to create and air flow reducing the heat in the bee hive.

Langstroth hive Mzinga ya Nyuki

KShs6,999.00 KShs6,650.00
Key Features • Vertically hung frames • Bottom board with entrance for the bees • Boxes containing frames for brood and honey: the lowest box of the hive for the queen to lay eggs, and boxes above where honey may be stored. • Inner cover and top cap to provide weather protection.

Kenyan Top Bar Hive Mzinga ya Nyuki

KShs4,999.00 KShs4,750.00
Key Features Kenyan Top Bar Hive This type of hive was originally designed in Kenya in the late 1960's for the Kenyan conditions. It is a transitional hive suitable for beekeepers as it is an improvement of the traditional log hives. It consists of one chamber complete with 26 top bars and top lid covered with corrugated iron sheet. • The hive has a 2 meters long hanging wire which is used to support the hive. • In addition, a queen excluder is provided to create room for the brood. • A supper chamber has also been provided. • The hive has a capacity to produce 15-20kgs of honey per harvest with about 45% occupation in ASAL areas