Showing 1–20 of 19036 results

The Allure of the Forbidden by Reagan

KShs2,500.00 KShs2,050.00
From a peasant village boy to a renowned businessman, Justin is at the peak of his life and his family is top of his priorities. But who can understand the heart's treachery? Justin is unfulfilled in his marriage. En vogue, and adorning the latest trends, he looks young and longs for passion, while his wife Katelyn is old-fashioned. It takes infidelity with Gisela for him to realize the loneliness of lust and the happiness of true love from his wife. Katelyn discovers a bitter truth, a woman's inner beauty runs supreme, but this can be unappreciated without the outer beauty to accentuate it. Gisela is entrapped illogically because of her true feelings.

Ripples in the Pool by Rebeka Njau

KShs2,500.00
Ripples in the Pool is a symbolic and powerful novel that delves into the tragedy and spiritual disconnection in rural

Talanta si Ndumba by Zachary Oreri

KShs700.00
Dunia imekataa kuwatambua watu kulingana na uwezo na juhudi zao maishani. Mara nyingi tunafumba macho tusibaini kwamba kila mwanadamu amejaliwa talanta ambazo hazitegemei jinsia ya mtu ili kunawiri. Katika riwaya hii ya Talanta si Ndumba, mwandishi ameangazia suala la kutambua uwezo wa binadamu pasi kuegemea kigezo cha jinsia. Talanta si Ndumba ni riwaya iliyojaa mseto wa matukio ambayo mengine yanaibua hisia za huruma na majuto. Mwinyi Mshaufu anakumbana na vitendawili vya maisha ambapo anafeli kuvitegua! Anajaliwa na watoto wasichana ambao anawaona kama wasiofaa kisa na maana ni wa kike. Mshaufu anajiona kama mzazi aliyefeli na kuamini kwamba kukosa mtoto wa kiume ni sawa na kuishi bila mrithi wa mali na nafasi alizotunukiwa. Anamfurusha mkewe Siwazuru pamoja na wanawe Mwenge, Lulu na Hariri. Baina ya machozi na rai za wanawe kumwomba baba yao awaonee imani, Mshaufu anashikilia kani kwamba maji kamfika shingoni. Siwazuru pamoja na wanawe wanakaribishwa na Bibi Nyamwange ambaye anawashauri na kuwapa makao.Wanawe Siwazuru wanatia bidii masomoni na hatimaye kufaulu pakubwa. Talanta zao zinabainika wazi, wanavuma na kujulikana kwingi. Habari hizi zinamfikia baba yao ambaye anazipokea kwa majuto makubwa. Licha ya mtengo uliozuka, binti zake Mshaufu wanaamua kumsamehe na kuzika tofauti zao. Kwa kweli, kazi hii imejaa mafunzo ainati ambayo lengo lake kubwa ni kumhamasisha msomaji kwamba haifai kumbagua mtu kwa kuzingatia jinsia yake! Kila mtu, wa kike au kiume, ana uwezo sawa!

Natamani Jana by Zachary Oreri

KShs600.00
Kweli Jana si Leo. Jana tuliishi kama vijana, Leo mambo ni tofauti. Kauli hii imedhihirika wazi kwenye riwaya hii iitwayo Natamani Jana ambapo wahusika mbalimbali wanatadarukiwa na ukweli mchungu kwamba ujana kama moshi, ukienda haurudi. Vijana wanazama kwenye bahari ya maisha, wanashindwa kuhimili tufani za ujanani ambazo zinageuka maafa na kuwameza wengine, huku wengine wakibaki kujuta. Mwanaisha anakiuka mipaka na kwenda kinyume na wosia wa wazazi wake, anatoroka nyumbani na kwenda kutafuta kile anachokiita uhuru wake lakini hatimaye maji yanamfika shingoni. Baadhi ya wahusika akiwemo Zawadi wanajaribu kutumia ujana wao visivyo na hatimaye wanaishia kujiuma vidole. Maisha yanawapa shubiri na kuishia pabaya. Hata hivyo, jambo linalobainika wazi ni kwamba kazi hii bunilizi inafaulu kumsafirisha msomaji katika anga ya kutalii maisha na changamoto zinazowakumba vijana pamwe na wazazi kujaribu kuwadhibiti. Licha ya wengi kushindwa kuhimili vizingiti vya ujanani, wapo wengine wanaofaulu. Natamani Jana ni riwaya iliyo na visa na matukio yaliyosukwa yakasukika.Visa hivyo vinakusudiwa kumsisimua msomaji na kumsafirisha hadi katika ulimwengu wa vijana walio nguzo za jamii. Mwandishi amefaulu kumsawiri mtu yeyote aitwaye kijana kwamba yeye ni mhimili mkubwa katika ujenzi wa jamii. Hivyo basi, ipo haja ya kwenda na wakati.

Afrorenaissance Vol. 1 by Sogallo The...

KShs1,200.00 KShs1,000.00
A book penned by Artists Sogallo and Native Nairobi, Afrorenaissance Vol. 1 delves into the philosophy of changing the African narrative through art, and delves into the African perspective on History, Afrofuturism, Metaphysics and Self awareness.

Tales From The Streets

KShs800.00
"In 'Tales from the Streets: Kenya's Gangster Paradise,' the vibrant pulse of Nairobi's underworld beats beneath the surface of every page, immersing readers in a world where danger and desperation coalesce. Through the voices of its protagonists—Frank Zaga, alias 'The Bosman,' Tasha, the 'Gangster girl,' and Nipsey “The sniper” and Sargent David, alias Davy—we are beckoned into the heart of the city's shadows, where alliances are forged and broken, and the pursuit of survival reigns supreme. As we follow Zaga, Tasha, Sargent David, and a host of other compelling characters through the labyrinthine streets of Nairobi, we are confronted with the harsh realities of life on the fringes of society. From daring heists to tender moments of camaraderie, each story offers a poignant reflection on the universal truths of human existence.

Tales From The Skies by Dennis Mukolwe

KShs800.00
As you turn the pages of Tales from the Skies, you'll be transported to a world where the skies are alive with magic and wonder. You'll encounter majestic eagles soaring high above the mountains, mystical nightingales singing in the moonlight, and a myriad of other birds that have inspired awe and reverence across generations. This book is more than just a collection of stories; it is an exploration of the profound bond between humans and birds, a journey through the skies that will educate, fascinate, and inspire. Whether you are an avid reader of myths, a lover of folklore, or simply someone who appreciates the beauty of birds, this book promises to offer a unique and enriching experience. Welcome to the world of Tales from the Skies—a celebration of the enchanting world of birds and the timeless stories they inspire.

My S.T.O.P. Lent Season Journal

My S.T.O.P. Lent Season Journal, is a devotional journal tailored to assist christians in their devotion during lent season. S.T.O.P is an acronym standing for S(Scripture) ,Daily Bible readings and devotions are denoted T (Thanksgiving). Each day, one gets to note what they are grateful to God for . O (Others’ needs). The reader is given an opportunity to pen down supplications they wish to make to other people. Prayer is the best gift one can give another person, especially those in need. P (Personal needs) One gets to pray for their own needs.

The Pains We Live by Sophie Kiwelu

KShs1,490.00
When Lydia Mkunde falls in love, it is hard, fast, and at first sight. She doesn’t listen to the ‘small voice’ telling her that Jabez Kimoni is not the one. Her happily-ever-after is a nightmare, and she wishes to end the pain when the man she marries becomes someone she can’t recognise.

Leading Young

KShs1,490.00
Leading Young is a vital pocket guide for every aspiring leader; a compass that will prove helpful to people from all walks of life that aspire to be leaders. It breaks down and explains the principles of leadership based on scripture and years of experience working with young leaders. The pitfalls that could easily ensnare leaders are listed, while the right turns that must be taken are highlighted. What is the driving force behind your desire to become a leader? Are you driven by self-interest or do you seek to serve people and add value to their lives? Do you dream of wielding power and authority over the people you lead, or would you rather serve them and work with them? These are a few of the scenarios that Gibson highlights in this book.

Leading iN the Valley

KShs1,990.00
It is quite evident that life is not smooth sailing. There are sharp corners and the roads are bumpy. There are valleys to be navigated and mountains to be climbed. The plans you have may not always materialize the way you had imagined them. This can be disheartening and discouraging. The temptation is usually to give up. In this book, Gibson Anduvate reminds us that we are not alone in the valley. He also offers insights to help us navigate those seasons so that we can thrive despite the challenges that have been thrown at us. But this book is not only about that; it is also about how we can be better relational human beings.

The University Drop-In: The Life of C...

KShs2,500.00
“It has been a pleasure and great joy reading this autobiography. I often laughed and cried. I heard CJ speaking!”

The Undying Quest to Impress Others b...

KShs1,000.00 KShs800.00
Embark on a thought-provoking journey through the intricacies of human nature in 'The Undying Quest to Impress others' explores deep into the paradoxical pursuit of impressing others, a timeless endeavor that shapes our decisions, relationships, and sense of self. Through captivating narratives and insightful analysis, this book uncovers the hidden motives, societal pressures, and psychological nuances that drive us to seek validation and admiration from those around us. With a blend of humor, wisdom, and raw honesty, 'The Undying Quest to Impress Others' invites readers to challenge conventional notions of success and happiness, offering a refreshing perspective on authenticity, personal growth, and the true meaning of fulfillment. Prepare to question, reflect, and discover as you unravel the layers of the undying quest to impress, and perhaps, find a new path towards genuine self-expression and acceptance.

Hydroponic: The Future of Farming in ...

KShs1,450.00 KShs1,250.00
This book discusses the future of soil free farming in Africa. It brings to light hydroponics as a solution to soilless farming and it's importance to food security, taking stock of it's viability to address climate changes, over reliance on rain fed agriculture and moving from old agricultural practices to new age soilless agriculture.