Showing 3161–3180 of 19408 results

Insha Sadikifu Shule za Msingi

KShs1,097.00
Insha Sadik Shule za Msing kitabu kilichoandikwa na walimu waliobobes katika ufundishaji na usahihisho wa insha kwenye shule za msingi nchini Kenya Uandishi wake umejiita kwenye silabasi mpya ya shule za msingi. Isitoshe, yaliyomo ndani ya kitabu hi By Obondo

Fun world: Winning story

KShs742.00
World I must have that girls story before she hands it in, Blasto vowed. The Winning Story is about corruption that has so pervaded our society. When a nationwide story writing competition about corruption had been announced, teachers in various... By Argwings Otieno

Nasaha Kamusi ya Misemo kimaudhui (KLB)

KShs1,554.00
Nasaha Kamusi ya Misemo Kimaudhui imeainisha misemo ya Kiswahili kimaudhui au kimuktadha wa matumizi. Misemo hiyo itamwelekeza msomaji au mtumiaji kuitumia vyema katika muktadha maalum. Hapana shaka kuwa Kamusi hii ya misemo kimaudhui itawasaidia... By Atibu Bakari

Longhorn Curious Koko and Outdoor Gra...

KShs744.00
Curious Kokoand the Outdoor Lesson Curious Kolo and his classmates are learning about seeds. Some classmates forget to bring their seeds for the lesson. Curious Kolhos on idea bo having an outdoor lesson. What does Kokoand his classmates learn durin By Jane

JKF Nyota ya Kiswahili Grade 3 (Appro...

KShs962.00
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya kiada kwa Gredi ya Tatu. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza maarubu ya mtalaa wa... By "Salim

Game hunters

KShs783.00
Okumi and Sam absent themselves from work in order to trap game aut Benni Farms is in danger of being destroyed by the bushfire the stort. What can Alua do to stop the wild bushfire which comes roaring towards his uncles farm? Moran integrity Readers By Mossi

EAEP: Masaibu ya Bintu: Intermediate J

KShs706.00
Hii ni hadithi ya kiwango (levelled reader). Hadithi hii inazingatia viwango tofauti vya usomaji. Hadithi hizi za viwango ndizo hadithi za kisasa. Hadithi hii imeandikwa ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi wenye uwezo mbalimbali wa kusoma bila... By Yahya Mutuku

OUP Kiswahili Dadisi Grade 1 Workbook

KShs893.00
Kiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika mfumo mpya wa umilisi, Vitabu hivi vinaelekeza kikamilifu kufanya mazoezi ya lugha kwa njia ya kufurahisha na kuelimisha. Kila kitabu katika... By OUP Kenya

OUP Everyday Hygiene & Nutrition...

KShs893.00
Everyday Hygiene and Nutrition Activities Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core... By OUP Kenya

OUP Growing in Christ CRE Grade 1 Wor...

KShs910.00
Growing in Christ CRE Activities Workbook is a unique fun-filled series that cormprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core... By OUP Kenya

Kamusi bora ya Watoto

KShs1,444.00
Msingi bora wa maneno kwa watoto wadogo. Kamusi ya kuaminika ya kuanzia kujifunza lugha ya kiswahili. Maneno muhimu 1700 na zaidi ya Kiswahili Maelezo wazi ya maneno. Mifano ya namna maneno yanavyotumiwa katika sentensi Zaidi ya picha 700 za rang By Kobia

OUP Kiswahili Dadisi Grade 2 Workbook

KShs968.00
Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika mtataa mpya wa umilisi. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanofunzi kupata... By OUP Kenya

OUP Everyday Hygiene & Nutrition...

KShs939.00
Everyday Hygiene and Nutrition Activities Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core... By OUP Kenya

OUP Growing in Christ CRE Grade 2 Wor...

KShs974.00
Growing in Christ CRE Activities Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies,... By OUP Kenya

OUP Kiswahili Dadisi Grade 3 Workbook

KShs1,009.00
Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vyo mazoezi katika mtalaa mpya wa umilisi. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa... By OUP Kenya