Showing 3021–3040 of 18465 results

Imarisha Lugha: Rehema awanasa wezi

KShs800.00
Ni siku chache zimesalia shule ya msingi ya Darajani ifungwe. Walimu na wafanyakazi wote wana mkutano wa mwisho wa mwaka. Rehema kiranja mkuu anagundua kuwa wageni wanaofika shuleni si wageni wazuri. Wameingia maktabani na wanaendelea kuiba vitabu. By Yahya Mutuku

Imarisha Lugha: Hatima ya Musa

KShs800.00
Musa anadanganywa na marafiki yake dakta. Musa anaishi kupoteza karo ya shule kupitia mchezo wa kamari ila anazidi kuendelea Kuucheza. Hatimaye anakamatwa na polisi na kupelekwa kwenye kituo cha polisi. Je, hatima ya musa ni ipi? Soma hadithi hii... By Maina

Sungura Hakimu na hadithi nyingine

KShs730.00
Sungura ni mvivu na hataki kufanya kazi. Hata hivyo anatamani maisha ya raha mustarehe kama mfalme. Ni lazima atumie akili vizuri la sivyo atakufa njaa. Sungura Hakimu na hadithi nyingine ni hadithi ambayo imeandikwa kwa namna ya kupigiwa mfano.... By Yahya Mutuku

Imarisha Lugha: Dua ya faraja

KShs800.00
Dua ya Faraja ni hadithi inayozungumzia jinsi kilang mmoja, Gambo anavyojipata katika hall tatanishi Bandaue Gambo anafanikiwa kuikwepa mitego yote ya kimaisha na hatimaye anatimiza ndoto yake, Natasi yangu yanitatiza lakini mahitaji uanizidi. Sophy By Onura

Swift Readers: The valley bandits

KShs830.00
The Valley of Problems is where the underprivileged of society live. Here the criminals have a field day and only the b est survive. Mama Shania, pushed by hardships and the desertion of her military husband is forced to look for sustenance in this By Ngumi Kibera

Msururu wa Mbayuwayu: Zuhura na Zahara

KShs830.00
Zuhura na Zahara ni pacha wanaofanana kama shilingi kwa ya pili. Wamelelewa kwa heshima na taadhima na wazazi wao lakini tabia zao hazilingani hata kidogo. Mwana wa mfalme aitwaye Chaka ni mgonjwa na hali yake ni mahututi. Ni lazima binti mmoja... By Yahya Mutuku

Msururu wa Makumba: Selidamu nyeupe

KShs830.00
Basi babu akaingia kwenye gajabu na kutoa bunduki moja. Kisha kwa ghafla akaona selidamu nyekundu moja iliyoingiwa na vimelea wa malaria. Babu akaruka akawafyatulia kemikali vimelea wa malaria. Vimelea wakapiga mayowe na kuanguka nje ya selidamu wak By Hamisi

Tausi na majuto katika kisa cha gaidi...

KShs830.00
Lii ni gaidi sugu anayelihangaisha taifa. Anawatekanyara vijana na kuwafunza jinsi ya kuua na kufanya vitendo vya ugaidi. Serikali imejaribu kumkomesha lakini imeshindwa. Nani ataweza kumkomesha? Soma hadithi ujionee jinsi kijana mmoja wa mitaani... By Chege

Kichaa cha Pesa

KShs725.00
Kila msomaji wa Taifa Leo bila ya shaka anamjua au amepata kumsikia Robert Muthusi. Yeye ni katika waandishi na wahariri mashuhuri wa gazeti hilo. Katika kitabu hiki Bob, kama rafiki zake wengi wanavyo mwita, anatusimulia vituko mbali mbali vya... By Muthusi

I Can Hear

KShs870.00
This story uses simple words to help your child learn to read and build their vocabulary. One and two letter words: 1, a, am, my, to, me Three letter words: boy, two, use, cat, hen, are, the, cow, moo, dog, baa, meh, the, did Four letter words: have, By One and two letter words:
1, a, am, my, to, me
Three letter words: boy, two, use, cat, hen, are, the, cow, moo,
dog, baa, meh, the, did
Four letter words: have, ears, hear, telt, talk, duck, bees, buzz, bark, bray, says, goat, meow,

Storymoja Know More Environmental Pre...

KShs890.00
Know More Environmental Activities Learners Workbook for Pre-Primary 1 is written in conformity to the new competence-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive learning activities and experiences. This will, in... By Ahmed

Storymoja Know More CRE Pre-Primary1 ...

KShs845.00
Know More Christian Religious Education (CRE) Learners Workbook for Pre-Primary I is written in conformity to the new competence-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive Christian religious learning activities... By Moi

Storymoja: How I Move

KShs870.00
Children will learn important words that describe how animals move. By Odera

Marafiki wa Bena

KShs890.00
Bena ni mvulana mdogo anayependa wanyama wa nyumbani. Je, Bena anawalisha wanyama hao chakula gani? Mtoto wako ni wa kiwango gani cha usomaji? Tumia vigezo vifuatavyo kubainisha kiwango cha mtoto wako ili umpe vitabu mwafaka kulingana na uwezo... By Ndiwa