Showing 881–900 of 1892 results

Yananiandama na Hadithi Nyingine

KShs550.00 KShs450.00

Yananiandama na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

Jeff Mandila ni mmoja wa waandishi wanaoinukia kwa kasi mno. Ni mwandishi wa riwaya, tamthilia na hadithi fupi kando na utunzi wa mashairi. Alizaliwa karibu na mji wa Kitale mwaka wa 1985. Alijishindia tuzo ya Wahome Mutahi 2012 baada ya riwaya yake ya Sikitiko la Sambaya kuibuka ya kwanza.

 

Geoffrey Mung’ou ambaye pia ni mwandishi wa riwaya ya Mkakasi ni mhariri katika Shirika la Habari la Standard. Ana shahada katika kitivo cha Elimu (Kiswahili na Historia-Chuo Kikuu cha Kenyatta). Ametoa mchango mkubwa kuhusu Kiswahili katika vyombo vya habari, kwenye makongamano na shuleni. Aidha, amekuwa mwalimu wa somo la Kiswahili katika shule kadhaa za upili nchini Kenya. Mbali na kazi hizi za fasihi, ameibukia na vitabu adhimu kuhusu fani nyinginezo za lugha.

Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine

KShs600.00 KShs495.00

Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

Kikechi Kombo B. ana Shahada ya elimu na sanaa na shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ni mwalimu mwenye tajiriba pana katika lugha na fasihi ya Kiswahili kwa miaka mingi. Hushiriki uchambuzi wa lugha na fasihi katika Idhaa ya Radio Taifa- KBC. Ameandika vitabu vya marudio katika lugha ya Kiswahili na miongozo tolatola mathalan mwongozo wa Chozi la Heri, mwongozo wa Kigogo, mwongozo wa Kidagaa Kimemwozea na mwongozo wa Mstahiki Meya. Amechangia pia katika kitabu cha marudio cha Kioo Cha KCSE, Mwongozo wa Nguu za Jadi na Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine miongoni mwa vitabu vingine.

 

Kenna Wasike ni mwandishi wa kazi za fasihi. Ameandika kazi aula za bunilizi. Aidha, amechangia katika uandishi wa hadithi fupi. Hadithi yake maarufu ni ‘Mapenzi ya Kifaurongo’ katika mkusanyiko wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Vilevile, amechangia katika uandishi wa kitabu cha marudio ya fasihi. Kwa sasa yeye ni mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya wavulana ya Chesamisi iliyoko gatuzi la Bungoma nchini Kenya.

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine

KShs450.00 KShs395.00

Mzee Kambirani na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

     

The Children of the Rain and Other St...

KShs450.00 KShs395.00
The Children of the Rain and Other Stories is a collection of short stories that explore themes of social, cultural, economic, political and spiritual aspects of modern life.

These stories are colourfully narrated in a charming and fast moving chronicle about noticeable issues that are close to many people’s emotions. The issues include love, school, family, relationships and diseases among many other contemporary concerns.

The stories unveil a great deal of originality with a striking style.

 

The book is a must read for students and junior readers.

 

When a Stranger Called by 13 Kenyan w...

KShs1,200.00 KShs999.00
An anthology of short stories by 13 Kenyan writers. The book covers different themes – murder, revenge, sex, marriage, workplace relationships, romantic relationships, drugs, etc – all summarized into one: HUMAN RELATIONSHIPS.

My Crazy ideas By Grace M. Njuguna

KShs2,000.00 KShs1,500.00

 A book for young and first time entrepreneur.

As technology changes with the world around us, so do job prospects for our children and future generations. In fact, as much as 30% of jobs may become obsolete in the next 20 years according to ILO. That’s huge! Along with these tech and societal developments, starting a business and becoming your own boss and entrepreneur has become a lot more accessible and a lot more accepted.

Entrepreneurship can make such a powerful tool to help fight youth unemployment. My Crazy ideas is guide for young people on how to turn their seemingly crazy ideas in to business ventures from Idea validating to raising the funds.  Crazy is good.

What They Didn`t Tell You About Retir...

KShs1,900.00 KShs1,500.00
Every individual loves to have a job. Typically, this is achieved through self-employment and employment by other people, including public and private institutions. Having something to do daily adds spice and meaning to one’s life. Even though it is imperative for us to occasionally remember that we shall leave our jobs and adjust to leading another life after retirement, many people work every day without taking some moments to think seriously that one day they will retire from their active life. The purpose of this book is to provide pieces of advice on how to plan for retirement irrespective of one’s age; to illuminate on the consequences of not planning for retirement, the challenges which one encounters and how to successfully deal with them, and in general, to remind us that there is life after retirement. Life can either be exciting and fulfilling, or harsh and overwhelming, all depending on how we conduct ourselves in our days of active lives. The author further emphasizes the need to view life as continuation from one station to another, without focusing on an expiry date, as if it is an event or single contractual engagement.

A Girl from Kyondoni by Ruth Mwanzia

KShs1,200.00 KShs1,000.00
A short memoir about my life experiences till today a story of one girl from the village & God’s grace & mercy

Aphorisms and Poems of Light by Jacob...

KShs1,000.00 KShs700.00
This is a collection of poems that explore the theme of hope, happiness, renewal and spirituality.

Gooka: From the Village to the City b...

KShs2,000.00 KShs1,850.00
The book is a semi-autobiography of the engineer turned author. In the book are the author's 21st century experiences toggled with his village days. These are 24 anecdotes and episodes with colour illustrations showing how life is today compared to the days gone by. A quote from reviewer Waithaka Waihenya ';An easy, informative, seductive and hilarious read, laden with remarkable informative and satirical anecdotes and facts. Intellectually hygienic band welcomingly inspirational'.

What will you be by Susan Wangui

KShs350.00 KShs320.00
A colouring book for kids as they learn about different professions and learning Swahili language.

Colour Africa’s Wild Animals as...

KShs350.00 KShs320.00
  • Get ready for a wild adventure with our Africa Wildlife and Swahili Learning Coloring Book! Perfect for kids and kids at heart.🎨 #ColoringWithPurpose

Atis trends – Children’s ...

KShs550.00 KShs450.00
Atis enters an online competition on TikTok. She has to keep this a secret since her parents have not allowed her to be on tik tok. Find out how Atis goes on an adventure in this digital 🌍 world.

Buster goes for a Christmas Walk

KShs700.00 KShs500.00
Woof! Woof! Woof!  .....  I went for a walk. Want to see what i saw, heard and propose? Buster has no idea that it is Christmas Day. He also has no idea what the day has in store for him. This day becomes a very special day to him as some new friends join him for a walk. He goes for a walk that makes him look forward for more Christmas Walks and hopes that perhaps there should be twelve Christmas Days.

Twists and Turns : A story of Survival

KShs1,000.00 KShs800.00
"When my parents took their last breath, I was still young and had no idea what the world had in store for me...It came as a savage shock to me; like a stranger approaching me on the street and punching me in the face. I found myself banjaxed with grief..and then the world showed me its true colours...." The lessons in this book are revealed gently, carefully, and with honest encouragement. The story takes you on a ride full of fun and inspiration. You discover the tools and principles which will automatically make your studies or career to fly, your happiness to soar, and your absolute potential to be realised.

Hope Made A Way

KShs1,500.00 KShs1,000.00
Hope Made A Way by Lucy Wanjiku Njenga is a memoir of a girl who rose from the urban slums to the global stage.

The National Discourse: On the Art an...

KShs2,500.00 KShs2,300.00
The National Discourse: On the Art and Method of Building a Nation. "On the august quest for the nation's identity, and the dedicated pursuit of the nation's identity " Volume 1; The Structure of State and Society. By Ibrahim Atingo

Safari ya Bahati, Timothy Sumba

KShs330.00 KShs299.00
Safari ya Bahati ni kitabu cha wanafunzi wa gredi za chini katika shule ya msingi. Kazi bunilizi hii inazingatia mahitaji yote ya mfumo mpya wa elimu (mtalaa wa umilisi) kama vile ujenzi wa masuala mtambuko. Utajiri mkubwa wa yaliyomo ni burudani katika lugha sanifu na msamiati teule ambao umeshiba mafunzo kemkemu ya maadili. Visa sisimuzi vimesukwa ili kumpa mtoto ilhamu ya kutaka kujua zaidi na kumjengea uraibu wa kusoma kwa ufasaha. Maisha yetu huendeshwa na usafiri. Vyombo vya uchukuzi vinavyotumika nchi kavu, majini na hewani ni gani? Mwandishi wa kitabu hiki, Timothy Omusikoyo Sumba ni mtaalamu wa saikolojia na fasihi ya watoto. Ameandika vitabu chungu nzima ambavyo vimeidhinishwa na Taasisi ya Kukuza Mitaala ya Kenya (KICD) pamwe na Research Triangle International (RTI).

Tuzo za Usafi by Timothy Sumba

KShs330.00 KShs299.00
Tuzo za Usafi ni kitabu cha wanafunzi wa gredi za chini katika shule ya msingi. Kazi bunilizi hii inazingatia mahitaji yote ya mfumo mpya wa elimu (mtalaa wa umilisi) kama vile ujenzi wa masuala mtambuko. Utajiri mkubwa wa yaliyomo ni burudani katika lugha sanifu na msamiati teule ambao umeshiba mafunzo kemkemu ya maadili. Visa sisimuzi vimesukwa ili kumpa mtoto ilhamu ya kutaka kujua zaidi na kumjengea uraibu wa kusoma kwa ufasaha. Usafi wa mwili ni mazoea mazuri. Umuhimu wa usafi ni upi? Utaratibu wa usafi wa mwili ni upi? Vifaa gani hutumika kuusafisha mwili? Mwandishi wa kitabu hiki, Timothy Omusikoyo Sumba ni mtaalamu wa saikolojia na fasihi ya watoto. Ameandika vitabu chungu nzima ambavyo vimeidhinishwa na Taasisi ya Kukuza Mitaala ya Kenya (KICD) pamwe na Research Triangle International (RTI).

SIKU ZA MWIZI by TIMOTHY SUMBA Grade 1

KShs330.00 KShs299.00
Siku za Mwizi ni kitabu cha wanafunzi wa gredi za chini katika shule ya msingi. Kazi bunilizi hii inazingatia mahitaji yote ya mfumo mpya wa elimu (mtalaa wa umilisi) kama vile ujenzi wa masuala mtambuko. Utajiri mkubwa wa yaliyomo ni burudani katika lugha sanifu na msamiati teule ambao umeshiba mafunzo kemkemu ya maadili. Visa sisimuzi vimesukwa ili kumpa mtoto ilhamu ya kutaka kujua zaidi na kumjengea uraibu wa kusoma kwa ufasaha. Mwizi amezoea kuiba. Mwizi ni nani? Aliiba nini? Wapi? Vipi? Je, siku za mwizi zitafika? Mwandishi wa kitabu hiki, Timothy Omusikoyo Sumba ni mtaalamu wa saikolojia na fasihi ya watoto. Ameandika vitabu chungu nzima ambavyo vimeidhinishwa na Taasisi ya Kukuza Mitaala ya Kenya (KICD) pamwe na Research Triangle International (RTI).