Showing 21–40 of 1136 results

Utoro

KShs1,064.00
Binadamu amejikuta katika mbio kuutapia ulimwengu ili kutimiza ndoto zake na maslahi yake ya kibinafsi. Nao wakati unapita na kumwacha binadamu na mtapio wake. Ndoto huotwa, lakini si ndoto zote zinazotimia. Binadamu akipanga, taratibu za maumbile... By Nao wakati unapita na kumwacha binadamu na mtapio wake. Ndoto huotwa, lakini si ndoto zote zinazotimia.
Binadamu akipanga, taratibu za maumbile zinapangua, akijenga, ulimwengu unabomoa.
Lakini yote haya mwanadamu huyasahau akabaki na pupa ya

Lulu ya Maisha

KShs916.00
Lulu ya Maisha ni hadithi kuhusu Sue anayepoteza wazee wake kwa ajili ya janga la ukimwi. Baadaye analazimika kuingilia maisha ya dhiki ya kujitafutia riziki ya kila siku kwa kuuza plastiki kuukuu. Ni katika hali hii ya hatihati anapokumbana na... By

Sanaa ya Umalenga

KShs954.00
Mpaka sasa somo la mashairi ni somo ambalo linaogopewa sana. Wanafunzi na hata walimu huwa hawapendelei kusoma au kufundisha mashairi. Sababu mojawapo ni kuwa waandishi wa mashairi daima huwa wanaandika mashairi yao kwa lugha ngumu ambayo wasomaji... By

Migogoro

KShs825.00
Migogoro ni tamthilia inayomulika jamii ya leo. Inabainisha migogoro iliyomo baina ya watoto na wazazi; wanaume na wanawake; walemavu na wasio walemavu; wenyeji na wageni; binadamu na mazingira. Migogoro hii inatishia kuivunja jamii na kusababisha... By wanaume na wanawake; walemavu na wasio walemavu; wenyeji na wageni; binadamu na mazingira.
Migogoro hii inatishia kuivunja jamii na kusababisha maangamizo. Wanawake wenye ujasiri
wanajitokeza na kuanzisha harakati za kuondoa umaskini, kutunz

Uhakiki wa Tamthilia: Historia na Mae...

KShs858.00
Tamthilia ya Kiswahili imekua na kuendelea kifasihi kwa mapana na marefu. Kitabu hiki kinashughulikia tamthilia ya Kiswahili - historia na maendeleo yake. Kwa kufanya hivyo, kitabu hiki kinaiweka tamthilia ya Kiswahili katika mkabala wake.... By Kiswahili - historia na maendeleo yake. Kwa kufanya hivyo, kitabu hiki kinaiweka tamthilia ya Kiswahili katika mkabala wake.
Mwandishi wa kitabu hiki anachambua tamthilia kama Uasi, Visiki, Wingu
Jeusi, Mashetani, Amezidi, na anadhihirisha kw

Target English std 6,7 and 8

KShs899.00
English Revision Questions with Answer And clear Guidance on best composition writing for classes 6,7 and 8 By

Spotlight quick Revision Science 8

KShs1,113.00
Spotlight quick Revision Science 8has been uniquely designed to be of great help to Class 8 pupils in revising the Class 8 Syllabus as well as preparing for the KCPE examination. The book is a very useful tool for teachers who need an appropriate... By Spotlight quick Revision Science 8has been uniquely designed to be of great help to Class 8 pupils in revising the Class 8 Syllabus as well as preparing for the KCPE examination. The book is a very useful tool for teachers who need an appropriate va

Music Theory in Practice Grade 3

KShs2,000.00
This work contains a detailed list of the requirements for the Grade 3 Theory of Music examination, information that may be needed in the context of the examination, specimen questions and exercises, and guidance on their solutions. It provides a... By

Atendaye Mema

KShs850.00
Atendaye Mema by David G.Maillu ...Punde to Mbolea akamwona nyoka. Akashtuka na kulia huku akijaribu kutoroka. Lakini hakuwa na nguvu za kutosha. Akamwambia nyoka, Nakuomba usiniue, mimi, ni maskini na yatima. Soma upate kujua yaliyompata kijana... By

Kido

KShs725.00
Kitabu hiki kinajumuisha hadithi mbili: Kido na Mzee Silu. Kijana Kido anaporithi ufalme wa babake, anatawala kwa dhulma na ulemevu kwa raia wake, hadi ikambidi babake amuondoe na kushikilia tena hatamu za utawala. Kido anateseka na kufunzwa na... By

Music Theory in Practice Grade 2

KShs1,900.00
The Music Theory in Practice series has helped more than one million musicians worldwide to learn about the notation and theory of music. Now fully revised, this workbook remains the best way to prepare for ABRSMs Grade 2 Theory of Music Exam.... By