Showing 881–900 of 19659 results

Zawadi ya Thamani

KShs365.00
Je, hatima ya maisha ya Nadia ni ipi? Ni zawadi gani ya thamani itakayomwokoa? Je, ni kujiamini kwake au ni ubunifu wake? Je, ni huruma au hisani yake? Je, ni shajara yake inayosema yale ambayo moyo wake unachelea kuyasema? Au labda ni Mwalimu Daniela ambaye amefanikiwa kukitegua kitendawili cha maisha yake? n n'Zawadi ya Thamani' ni hadithi ambayo imesimuliwa kwa lugha nyepesi yenye ubunifu na mvuto mkuu. Upekee wa hadithi hii umo katika uwezo wayo wa kumteka msomaji kuanzia mwanzo hadi mwisho, na wakati uo huo kumpa mafunzo anuwai kuhusu namna ya kukabiliana na changamoto za maisha. Hadithi hii imeangazia masuala mtambuko mbalimbali na kusawiri maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Daraja ya Awali ya Shule za Sekondari.

A new Dawn

KShs500.00
“A New Dawn” is the story of a society rising from the ashes of ethnic turbulence. It is the drama of a society that is still reeling from the aftershocks of conflict. Mama Nuru is convinced that change is the only way forward and that the ordinary people should be the drivers of that change. But can the society embrace the new gospel, or will they cling to the ‘tried and tested’ old order?

The Hideaway

KShs400.00
Kevin and Marto are on a vacation. On their way to an island off the coast, they make an unplanned stopover in the heart of the Tsavo which marks the beginning of a gripping adventure. They find themselves in the middle of a poaching syndicate as they try to unravel mysterious occurrences. Will they be able to get themselves out safely? n n'The Hideaway' is a thrilling story about tourism and conservation. n nStarLit Readers is a series targeting Junior School learners in the Competency-Based Curriculum (CBC). The series is also recommended for other readers looking for modern stories told in a powerful and highly refreshing fashion. The books in this series will certainly keep you turning the pages.

Finding Colombia

KShs375.00
Lex lives on the streets, with little to do apart from sniffing Jet Lee and minding his own business. Lex's uneventful life is interrupted when he is tracked down by the Anti-Drugs Agency (ADA) officers. They need Lex to help them: to work as an undercover agent to find Colombia, a notorious and influential but elusive drug baron. The criminal is said to be hiding in a rehabilitation centre. It is here that Lex is enrolled by the ADA for the covert operation and later starts his rehabilitation journey. n n'Finding Colombia' is a story of determination to rid society of drug and substance abuse and find purpose in life. n nStarLit Readers is a series targeting Junior School learners in the Competency-Based Curriculum (CBC). The series is also recommended for other readers looking for modern stories told in a powerful and highly refreshing fashion. The books in this series will certainly keep you turning the pages. n nKICD APPROVED For Junior School

The Bizarre Bazaar

KShs375.00
Suddenly, something descended on me and everything went black! My first instinct was to fight but my struggle was short-lived. I must have lost consciousness. n nWhen I opened my eyes, it took a while for me to realise that I was lying on the ground. My arms and legs, I realized, were tied with ropes. n nIn this riveting story, an adventure at a funfare turns dangerous when Marto and Kevin find themselves embroiled in a kidnap and carjacking saga. n nStarLit Readers is a series targeting Junior School learners in the Competency-Based Curriculum (CBC). The series is also recommended for other readers looking for modern stories told in a powerful and highly refreshing fashion. The books in this series will certainly, keep you turning the pages.

The Dumpsite Puzzle

KShs375.00
This is serious and dangerous," Uncle Ben said after listening to our story. He then warned us not to mention it to anyone. n n"Boys, you will now let the police take it up from here. Do not, and I repeat, do not go to that area again," Sergeant Keroi added. "Can we accompany the police to show them the hidden gate?" I asked thoughtlessly. n n"NO!" The cry came from both mothers. It was all so dangerous. n nStarLit Readers is a series targeting Junior School learners in the Competency-Based Curriculum (CBC). The series is also recommended for other readers looking for modern stories told in a powerful and highly refreshing fashion. The books in this series will certainly keep you turning the pages.

Musa na Shamba la Shule

KShs460.00
Wazo la kuanzisha shamba la shule linawafanya wanafunzi wa Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen kuandaa mgomo baridi. Kwa madai yao wenyewe, wako shuleni 'kusomea mitihani' wala si kuwa mashokoa wa mwalimu mkuu, Mzee Mukibi. Hata hivyo, hakuna aliye tayari kumkabili mwalimu mkuu kwa kuhofia kuonekana muasi. Masaibu ya Musa na marafiki zake yanazidi kufuatia 'kutoweka' kwa nguruwe dume, na kuku sita kuibwa. Mwalimu mkuu naye ameapa kufanya juu chini kuwanasa wezi.

Musa na Bahati Nasibu

KShs460.00
Musa na King Kong wanakumbwa na uhitaji mkubwa wa pesa. Ili kukidhi haja hii, wanaibuka na wazo la kuandaa mchezo wa bahati nasibu. n nMusa analazimika kutafuta zawadi ya kushindaniwa katika shule yao, Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. n nIngawa wanafanikiwa kupata zawadi - gari kutoka kwa Nick Molo - mchezo wao unakumbwa na mashaka. n nKwanza, mwalimu mkuu, Mzee Mukibi, anawapokonya tiketi za mchezo. Kisha, inabainika kuwa gari lenyewe ni la kuibwa. n nPesa wanazozipata nazo zinaishia mikononi mwa hasimu wao ...

Musa Mpigakambi

KShs460.00
Musa na King Kong wanabaki bila mahali pa kulala baada ya ‘maonesho’ yao ya fataki kuteketeza kimakosa mabweni katika shule yao _ Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Walioathiriwa na mkasa huo wanalazimika kupiga kambi kwenye mahema ukingoni mwa mto. n nKatika harakati za kuchimba shimo la kutia mhimili wa hema, King Kong anachimbua mfuko wenye vito vya thamani. Pamoja na wenzake, wanashindwa kujiwekea siri ya ugunduzi huo mkuu, na muda si mrefu, wanajipata katika matatizo makubwa.

Musa Kwenye Harakati

KShs460.00
Wanafunzi katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen wanaenda nyumbani kwa likizo fupi. Hata hivyo. Musa na King Kong wana mpango tofauti. Wanaamua kuitumia fursa hiyo kujifurahisha mjini Tororo. n nWakiwa mjini Tororo, wanakutana na Finito anayewashawishi washiriki katika 'hafla' yake ya uponyaji (kwa malipo) na wanakubali. Musa anapanda jukwaani. Anapogeuka kuutazama umati uliojaa fujo, anakabiliana ana kwa ana na naibu wa mwalimu mkuu. Bw Karanja. Baada ya kufaulu kutoroka, na hata kuwakwepa polisi, wanaapa kufanya juu chini ili kuvuka mpaka. Je, hatima yao itakuwaje?

Musa na Rafiki wa Barua

KShs460.00
Ari ya kuwasiliana na marafiki wa barua inashabikiwa sana katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Si ajabu kwamba Musa na King Kong wamo katika wimbi hilo la msisimko. n nKando na hayo, Kasali — mvulana mgeni — anatengeneza mvinyo kwa mashine aliyoificha kwenye bweni. Kila anayeuonja anakiri kwamba ni mvinyo mzuri sana, na hata kuhusudu hall ya baadaye ya Kasali katika biashara ya mvinyo. Hata hivyo, majaribio anayoifanyia fomyula ya mvinyo huo inabadilisha pakubwa historia ya Taasisi ya Mukibi.

Musa kwenye Sokomoko

KShs460.00
"Kumleta mwanafunzi wa kike mahali kama hapa huenda kukawa balaa kubwa!" Anasema Bw Karanja, naibu wa mwalimu mkuu katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Bw. Mukibi, hata hivyo anaiona hiyo kuwa hatua nzuri sawa na wavulana wa shule hiyo pindi wanapopata habari hizo za kusisimua. n nJuli Sekabanja anaamua kwamba Musa na King Kong ndio wahusika hasa anaowahitaji ili kumsaidia kunasa genge la majasusi. n n'Musa kwenye Sokomoko' ni hadithi ya tano katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Musa Mashakani

KShs460.00
Visa na Vituko vya Musa ni tafsiri ya Moses Series vilivyoandikwa na Barbara Kimenye, na ambavyo vinaangazia hali ya maisha ya wanafunzi shuleni mwao. Mbali na kuwa vinaburudisha na kuchekesha kwa visa mbalimbali vinavyomkumba Musa, yapo mafunzo mengi anayopata msomaji. Tafsiri hizi zinadumisha mvuto na mnato wa kazi asilia, na zitakupa shauku ya kusoma hadithi yote ili kujua hatima ya kisa chenyewe. Si jambo geni kwa Musa kuwa mashakani. Safari hii, yeye na marafiki zake katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen wanafanya mgomo wa kimzaha kuhusu chakula wanachopewa shuleni. Mwanzoni, wanauona mzaha huo kuwa murua. Hata hivyo, Mwalimu mkuu, Bw Mukibi, hafurahishwi – yeye si mtu wa kuficha hisia zake.

Musa na Pepo

KShs460.00
Musa, King Kong na wanafunzi wengine wa Bweni nambari 3 hawaamini kwamba kuna pepo. Lakini gimba hili la kutisha linalonyapanyapa kwenye uga wa shule yao ni kitu gani? Madoadoa ya ajabu ya 'damu' yametoka wapi? Na ni nani anayetoa kicheko cha kutisha nje ya mlango wa nyumba ya Bi Namukasa? Naibu wa mwalimu mkuu, Bw Karanja, anaamini kuwa ni wanafunzi wa Bweni nambari 3 wanaofanya mzaha. Kwa hivyo Musa na wenzake wanaamua kufanya juu chini kumnasa pepo huyu la sivyo atawafanya watimuliwe shule. 'Musa na Pepo' ni kitabu cha sita katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Musa na Mildred

KShs460.00
Musa anatarajia mambo yamwendee vyema muhula huu, kinyume na masaibu yaliyotawala muhula wa kwanza katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Ana matumaini ya kumwonesha rafiki yake, King Kong, kipenzi chake, Mildred. Hata hivyo, mambo yanaanza vibaya na kutumbukia nyongo. Kwanza, kuna mvutana mgeni, Magara, ambaye ni dhatirnu. Kisha, King Kong anabwagwa kwenye kinyang'anyiro cha kiranja wa bweni. Halafu, Mildred anatoweka. 'Musa na Mildred' ni kitabu cha pill katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Musa na Watekanyara

KShs460.00
Siku ambayo mimi na King Kong tulitekwa nyara ilianza kama Jumamosi nyingine yoyote ile... Anasimulia, Musa, mwanafunzi mtundu zaidi ya wote nchini Uganda, mwanzoni mwa kisa chake cha nne. Naibu wa mwalimu mkuu, Bw Karanja, anaamua kuwa ni lazima marafiki hao, Musa na King Kong, wanyolewe. Wanapofika mjini asubuhi, wanafurahia uhuru wa kutokuwa shuleni - hadi gari aina ya Mercedes Benz linapotokea na kukatiza ghafla raha yao. n n'Musa na Watekanyara' ni kitabu cha nne katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa.

Musa

KShs460.00
Musa Kibaya anatimuliwa kutoka shule yake ya sita. Anahisi kwamba hii ni rekodi katika umri wake wa miaka kumi na mitano pekee, ingawa kwa namna fulani anaionea fahari. Hofu yake tu ni jinsi Mjomba wake, Silasi, atakavyolichukulia suala hili... n nSilasi anapogundua kutimuliwa kwake, anampeleka Musa katika shule yake ya saba, Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Kumbe, hapo ndipo vituko vya Musa vinapoanza. n'Musa' ni kitabu cha kwanza katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Moses and the Ghost

KShs460.00

Is there really a ghost haunting Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen? Moses, his friend King Kong, and the rest of the gang in Dormitory 3 don't believe in ghosts. That is, they are pretty sure they don't. But then who, or what, is the weird white figure flitting about the school compound at night? Where did the mysterious bloodstains come from? And who was responsible for the sinister laughter outside Miss Namukasa's door?

The deputy headmaster, Mr Karanja, believes he has the answer to all these questions: it's Dorm 3 trying to be funny. So HM and KK, together with Rukia, Itchy Fingers and the rest, set out to grab the ghost before it gets them all expelled.

This is the sixth of Moses' witty chronicles of life in Uganda's most awful school.

Moses and the School Farm

KShs460.00
The idea of starting a school farm was not received with enthusiasm by the students at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Weren't they there to study for their examinations? But before they know what's happening, everyone is busy clearing land, planting, and weeding. What if they end up with blisters on their hands and aching muscles? What if the agricultural tools are as ancient as the hills? n nSoon Moses and his friends are in trouble once more. The pigs have escaped, six chickens have been stolen, a fox is on the loose, and the headmaster is determined to find the culprits. n n'Moses and the School Farm' is the eleventh title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.

Moses and the Raffle

KShs460.00
The idea of starting a school farm was not received with enthusiasm by the students at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Weren't they there to study for their examinations? But before they know what's happening, everyone is busy clearing land, planting, and weeding. What if they end up with blisters on their hands and aching muscles? What if the agricultural tools are as ancient as the hills? n nSoon Moses and his friends are in trouble once more. The pigs have escaped, six chickens have been stolen, a fox is on the loose, and the headmaster is determined to find the culprits. n n'Moses and the School Farm' is the eleventh title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.