Showing 1–20 of 26 results

Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu,...

KShs550.00
Mwongozo wa Mwalimu n nGredi ya 3 n nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa ustadi na upekee ili kutosheleza mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu katika msururu huu vitakusaidia kumwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha katika stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika kama ilivyopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi. n nVitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatawachangamsha wanafunzi wako na kuwapa hamu ya kutaka kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. n nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 3 kina mifano halisi na ya kutosha kukuwezesha kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu utapata: n
    n
  • utangulizi wa kina kuhusu Mtaala wa Umilisi
  • n
  • muhtasari wa umilisi, maadili, masuala mtambuko na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa kufundishwa katika kila suala kuu
  • n
  • maelezo kuhusu jinsi ya kushirikisha vifaa vya kidijitali katika ufundishaji
  • n
  • mapendekezo ya majibu ya maswali yote katika Kitabu cha Mwanafunzi
  • n
  • mapendekezo ya shughuli za wanafunzi nje ya darasa
  • n
  • maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.
  • n
nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo yatakufaa sana ili kuwawezesha wanafunzi kufaulu katika Mtaala wa Umilisi. n nOxford, mshirika wako katika ufanisi!

Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu,...

KShs600.00
Mwongozo wa Mwalimu n nGredi ya 2 n nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa ustadi na upekee ili kutosheleza mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu katika msururu huu vitakusaidia kumwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha katika stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika kama ilivyopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi. n nVitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatawachangamsha wanafunzi wako na kuwapa hamu ya kutaka kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. n nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 2 kina mifano halisi na ya kutosha kukuwezesha kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu utapata: n
    n
  • utangulizi wa kina kuhusu Mtaala wa Umilisi
  • n
  • muhtasari wa umilisi, maadili, masuala mtambuko na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa kufundishwa katika kila suala kuu
  • n
  • maelezo kuhusu jinsi ya kushirikisha vifaa vya kidijitali katika ufundishaji
  • n
  • mapendekezo ya majibu ya maswali yote katika Kitabu cha Mwanafunzi
  • n
  • mapendekezo ya shughuli za wanafunzi nje ya darasa
  • n
  • maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.
  • n
nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo yatakufaa sana ili kuwawezesha wanafunzi kufaulu katika Mtaala wa Umilisi. n nOxford, mshirika wako katika ufanisi!

Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu,...

KShs600.00
Mwongozo wa Mwalimu n nGredi ya 1 n nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa ustadi na upekee ili kutosheleza mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu katika msururu huu vitakusaidia kumwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha katika stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika kama ilivyopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi. n nVitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatawachangamsha wanafunzi wako na kuwapa hamu ya kutaka kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. n nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 1 kina mifano halisi na ya kutosha kukuwezesha kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu utapata: n
    n
  • utangulizi wa kina kuhusu Mtaala wa Umilisi
  • n
  • muhtasari wa umilisi, maadili, masuala mtambuko na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa kufundishwa katika kila suala kuu
  • n
  • maelezo kuhusu jinsi ya kushirikisha vifaa vya kidijitali katika ufundishaji
  • n
  • mapendekezo ya majibu ya maswali yote katika Kitabu cha Mwanafunzi
  • n
  • mapendekezo ya shughuli za wanafunzi nje ya darasa
  • n
  • maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.
  • n
nKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo yatakufaa sana ili kuwawezesha wanafunzi kufaulu katika Mtaala wa Umilisi. n nOxford, mshirika wako katika ufanisi!

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunz...

KShs600.00
Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 n nKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa utaalamu na upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevile Sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia, vinakuza umilisi utiopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3, utapata: n
    n
  • mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala mpya.
  • n
  • mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
  • n
  • mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • n
  • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • mazoezi yanayompa mwanafunzi fursa ya kujitathmini.
  • n
nKiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi.

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunz...

KShs600.00
Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 n nKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vitivyoandikwa kwa utaalamu na upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtataa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevite Sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia, vinakuza umilisi utiopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n nKatika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2, utapata: n
    n
  • mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala mpya.
  • n
  • mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
  • n
  • mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuti za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • n
  • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • mazoezi yanayompa mwanafunzi fursa ya kujitathmini.
  • n
nKiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 kina Mwongozo wa Mwatimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi.

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunz...

KShs580.00
Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I n nKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vitivyoandikwa kwa utaatamu na upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtataa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevite Sarufi. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia, vinakuza umilisi utiopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n nKatika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I , utapata: n
    n
  • mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala mpya.
  • n
  • mifano halisi ya miktadha ambayo lugha hutumika.
  • n
  • mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuti za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • n
  • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • mazoezi yanayompa mwanafunzi fursa ya kujitathmini.
  • n
nKiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I king Mwongozo wa Mwatimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwatimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtataa huu mpya wa umilisi. n nOxford, mshirika wako katika ufanisi!

Kiswahili Dadisi Workbook Grade 6

KShs500.00
'Kiswahili Dadisi Workbook' ni msururu wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa wa Umilisi. Kila kitabu katika msururu huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka. n nKitabu hiki: n
    n
  • Kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtalaa.
  • n
  • Kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezeshamwanafunzi kujenga na kupanua umiliskatika kila mada.
  • n
  • Kina dokezo ambazo zinatoa maelezo zaidi kuhusu vipengele lengwa.
  • n
  • Kina tathmini ya binafsi ambayo itamsaidia mwanafunzi kukadiria umilisi wake katika mada ndogo zote.
  • n
  • Kina majaribio ya mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi.
  • n

Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu 6

KShs455.00
'Kiswahili Dadisi' ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi kama ilivyopendekezwa katika mtalaa. n nVitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatamchangamsha mwanafunzi na kumpa hamu ya kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n nHuu Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 6, una mifano halisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu, utapata: n
    n
  • Utangulizi wa kina kuhusu mtalaa wa umilisi Muhtasari wa umilisi, maadili, masuala ibuka na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa ufundishaji katika kila sura.
  • n
  • Matokeo maalumu, maandalizi ya somo na shughuli za ufunzaji wa kila somo.
  • n
  • Mapendekezo ya majibu ya takribani maswali yote katika Kitabu cha Mwanafunzi.
  • n
  • Mapendekezo ya shughuli za kutekelezwa na wanafunzi ili waendelee kujifunza wakiwa nje ya darasa.
  • n
  • Maswali ya ziada ili kukuwezesha kutathmini zaidi uelewa wa wanafunzi wako.
  • n
  • Maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.
  • n
n'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwanafunzi pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwanafunzi na mwalimu wanahitaji ili kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi. n nOxford, chaguo lako!

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunz...

KShs485.00
'Kiswahili Dadisi' ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n nKatika 'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 6, utapata: n
    n
  • Mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
  • n
  • Mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
  • n
  • Mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • n
  • Mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • Jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
  • n
  • Vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
  • n
n'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi. n nOxford, chaguo lako!

Kiswahili Dadisi Workbook Grade 5

KShs470.00

Kiswahili Dadisi Workbook ni msururu wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa wa Umilisi. Kila kitabu katika msururu huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka.

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwalimu 5

KShs440.00
'Kiswahili Dadisi' ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi kama ilivyopendekezwa katika mtalaa. n nVitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatamchangamsha mwanafunzi na kumpa hamu ya kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n n'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwalimu, Gredi 5, kina mifano halisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu, utapata: n
    n
  • Utangulizi wa kina kuhusu mtalaa mpya wa umilisi.
  • n
  • Muhtasari wa umilisi, maadili, masuala ibuka na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa ufundishaji katika kila sura.
  • n
  • Matokeo maalumu, maandalizi ya somo na shughuli za ufunzaji wa kila somo.
  • n
  • Mapendekezo ya majibu ya maswali yote katika Kitabu cha Mwanafunzi.
  • n
  • Mapendekezo ya shughuli za kutekelezwa na wanafunzi ili waendelee kujifunza wakiwa nje ya darasa.
  • n
  • Maswali ya ziada ili kukuwezesha kutathmini zaidi uelewa wa wanafunzi wako.
  • n
  • Maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.
  • n
n'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwanafunzi pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwanafunzi na mwalimu wanahitaji ili kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi. n nOxford, chaguo lako!

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunz...

KShs485.00

Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 5, utapata:

n
    n
  • Mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya. Mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
  • n
  • Mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • n
  • Mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • Jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
  • n
  • Vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
  • n
n

Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi.

n

Oxford, chaguo lako!

Kiswahili Dadisi Workbook Grade 4

KShs440.00
'Kiswahili Dadisi Workbook' ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa mpya wa Umilisi. n nKila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka. Kitabu hiki: n
    n
  • Kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtalaa.
  • n
  • Kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezesha mwanafunzi kujenga na kupanua umilisi katika kila mada.
  • n
  • Kina tathmini ya binafsi ambayo itamsaidia mwanafunzi kukadiria umilisi wake katika mada ndogo zote.
  • n
nMajibu ya mazoezi katika vitabu vyote vya Gredi ya Nne yanapatikana katika kitabu kimoja.

Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu 4

KShs390.00
'Kiswahili Dadisi' ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi kama ilivyopendekezwa katika mtalaa. n nVitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatamchangamsha mwanafunzi na kumpa hamu ya kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n n'Kiswahili Dadisi', Mwongozo wa Mwalimu, Gredi 4, kina mifano halisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. n nKatika mwongozo huu, utapata: n
    n
  • Utangulizi wa kina kuhusu mtalaa mpya wa umilisi.
  • n
  • Muhtasari wa umilisi, maadili, masuala ibuka na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa ufundishaji katika kila sura.
  • n
  • Matokeo maalumu, maandalizi ya somo na shughuli za ufunzaji wa kila somo.
  • n
  • Mapendekezo ya majibu ya maswali yote katika Kitabu cha Mwanafunzi.
  • n
  • Mapendekezo ya shughuli za kutekelezwa na wanafunzi ili waendelee kujifunza wakiwa nje ya darasa.
  • n
  • Maswali ya ziada ili kukuwezesha kutathmini zaidi uelewa wa wanafunzi wako.
  • n
  • Maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.
  • n
nKiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwanafunzi na mwalimu wanahitaji ili kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi. n nOxford, chaguo lako!

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunz...

KShs400.00
'Kiswahili Dadisi' ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. n nKatika 'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 4, utapata: n
    n
  • Mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
  • n
  • Mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
  • n
  • Mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • n
  • Mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • Jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
  • n
  • Vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
  • n
n'Kiswahili Dadisi', Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa umilisi. n nOxford, chaguo lako!

Everyday Science and Technology Work ...

KShs500.00
'Everyday Science and Technology Workbook' is a unique fun-filled series that comprehensively covers the Competency-based Curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes. n nThis workbook offers: n
    n
  • Stimulating activities that are arranged from simple to challenging.
  • n
  • Summary notes that help to refresh the learner’s knowledge about the content covered from Grade Four.
  • n
  • Revision questions that enable the learner to measure his or her progress in understanding concepts developed from Grade Four.
  • n
  • Model summative questions that help the learner to prepare for the Kenya Primary School Education Assessment (KPSEA).
  • n

Kiswahili Dadisi Workbook Grade 3

KShs430.00
'Kiswahili Dadisi', Mazoezi ya Lugha, Workbook' ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika mfumo mpya wa umilisi. Vitabu hivi vinaelekeza kikamilifu kufanya mazoezi ya lugha kwa njia ya kufurahisha na kuelimisha. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa msingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. n nKitabu hiki: n
    n
  • Kimeandikwa kwa kufuata mada zote kwenye silabasi.
  • n
  • Kina mazoezi mengi ya kufurahisha na kuelimisha ambayo mwanafunzi anaweza kufanya.
  • n
  • Ili kujenga umilisi katika kila mada.
  • n
  • Umilisi wa jumla.
  • n
  • Kwa mada zote.
  • n
nMajibu ya mazoezi ya vitabu vyote vya Gredi 3 yanapatikana katika kitabu kimoja.

Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kit...

KShs475.00
Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa utaalamu na upekee ili kufanikisha ufundishaji na ujifunzaji wa mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu hivi vitawawezesha wanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevile Sarufi, kupitia mazoezi murua ambayo pia yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya1 utapata: n
    n
  • Mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala. Mifano halisi ya matumizi ya lugha kimuktadha.
  • n
  • Mazoezi ya kuchangamsha na kufikirisha ambayo yanawashirikisha wanafunzi moja kwa moja.
  • n
  • Vifungu vya kuburudisha na vinavyoendeleza ujifunzaji.
  • n
  • Nyimbo za kusisimua ambazo zitawachangamsha na kuwaburudisha wanafunzi.
  • n
  • Picha za rangi, zenye mvuto wa kipekee na ambazo zinachangia pakubwa katika ujifunzaji wa mwanafunzi.
  • n
  • Mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa. Mazoezi ambayo yatawashirikisha mwanafunzi kutumia vifaa vya kidijitali katika ujifunzaji.
  • n
  • Jinsi ya kumshirikisha mzazi au mlezi kuimarisha ujifunzaji.
  • n
nKiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 3 kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu anahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika somo la Kiswahili.

Everyday Science and Technology Work ...

KShs455.00
'Everyday Science and Technology Workbook' is a unique fun-filled series that comprehensively covers the Competency-based Curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes.