Showing 681–682 of 682 results

Kiswahili Fasaha Kidato cha 1 Kitabu ...

KShs700.00
Toleo jipya la 'Kiswahili Fasaha' Kidato cha 1 limeboreshwa ili kukidhi mahitaji ya mwanafunzi kuambatana na silabasi. Maelezo ya mada zote za lugha yametolewa kwa lugha rahisi ambayo mwanafunzi anaweza kuelewa hata anaposoma mwenyewe. n nKatika kitabu hiki utapata: n
    n
  • Mada zote zilizoorodheshwa kwenye silabasi Kidato cha 1.
  • n
  • Mpangilio bora wa mada na ulio rahisi kufuatilia ya mada za isimujamii, sarufi, ufahamu na ufupisho, fasihi, insha mbalimbali na kusoma kwa kina na kwa mapana masuala ibuka mbalimbali.
  • n
  • Mazoezi katika kila mada.
  • n
  • Maswali ya marudio.
  • n

Head Start Secondary English Pupil...

KShs765.00
'Head Start Secondary English' is a series which comprehensively covers the English syllabus for secondary schools. It uses an integrated approach to language learning and equips the student with the ability to use language in a variety of ways. The books in this series make use of practical issues, global trends and day-to-day issues to present language in context. Each book is carefully written by English language experts. n nThe Student's Book: n
    n
  • Re-inforces the student's listening, speaking, reading and writing skills.
  • n
  • Emphasizes the acquisition of communicative competence.
  • n
  • Encourages mastery of grammar, and spurs the student to think creatively and critically.
  • n