Showing 21–40 of 47 results

Swahili Readers: 5b – Vitendawi...

KShs255.00
'Vitendawili kwa Mashairi' 5b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Tano katika shule za msingi. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Mashairi mepesi ya tarbiya ya beti moja moja.
  • n
  • Umahiri wa mtunzi wa kutoa majibu ndani ya beti.
  • n
  • Mtindo maalumu wa kutega na kutegua vitendawili kwa njia ya mashairi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya chemsha bongo au vitendawili ili kukuza na kupanua fikra zao.
  • n
  • Kurahisisha ufahamu ili kupata jibu la kila kitendawili kwa kuunganisha herufi au silabi fulani zilizomo ndani ya kila ubeti pamoja na kupitia picha zenye kusisimua na zenye rangi za kupendeza.
  • n
nMradi wa kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 5a – Embe Tamu

KShs255.00
'Embe Tamu' 5a ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kisomo kwa kutaiza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Tano katika shule za msingi. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia utambaji wa hadithi, vichekesho, tashihisi, mbinu rejeshi, taharuki, picha zenye rangi za kupendeza na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya fasihi simulizi, maumbile na sayansi ya mhusika mkuu embe/mwembe, asili ya vitu, pamoja na maadili mema kama vile subira, uvumilivu na wajibu.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 4f- Cheupe na Cheusi

KShs225.00

Cheupe anapotumwa msituni usiku, hana habari kuwa dada yake, Cheusi, pamoja na mama yake hawamtarajii nyumbani tena. Hata hivyo, kile ambacho Cheupe anakutana nacho msituni kinabadilisha maisha yake kabisa.
Cheupe na Cheusi ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wa kusoma na kuandika.
Mradi wa Kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 4e- Kalulu na Mti Mkavu

KShs225.00
Kalulu anampeleka ng'ombe wake sokoni kumuuza. Njiani, anapata mnunuzi wa ajabu ambaye ni mti wa mbuyu uliokauka. Itakuwaje mti uuziwe ng'ombe? n'Kalulu na Mti Mkavu' ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. nMradi wa Kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 4d – Vituko vy...

KShs225.00

Vituko vya Sungura 4d ni kitabu kinachotenga wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusomo. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi za kale kwa njia ya shairi.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia utambaji wa hadithi, ukariri wa beti za shairi, semi, tashihisi na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya kusaidiana na kushirikiana wakati wa shida, stadi za maisha. uwajibikaji, utu, uvumilivu, uadilifu, haki, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
  • Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu .
  • n

Swahili Readers: 4c – Kifimbo C...

KShs225.00
Author: Ahmed Hussein ISBN: “9780195730722”

Swahili Readers: 4b – Usicheze ...

KShs225.00

Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.

n

Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya michezo ya kitoto, ushirikiano na ujirani mwema, kichekesho, sifa na hulka za watu tofauti na maarifa juu ya kukabiliana na hatari ya moto.
  • n
n

Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 4a – Mfano Mwema

KShs225.00
Author: Eunice Ng’ang’a ISBN: “9780195730708”

Swahili Readers: 3f – Furaha ya...

KShs215.00

Arope amezoea kwenda malishoni kuwalisha wanyama wao. Baada ya muda kidogo, baba yake anamtaka aende shuleni ili apate elimu. Arope anafika shuleni. Siku moja, mgeni mmoja wa ajabu anakuja shuleni kwa kina Arope. Mgeni huyu anafanya mambo ambayo yanampatia Arope furaha kubwa. Mwishoni Arope anakuwa 'Arope wa Kitabuni'.
Furaha ya Arope ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 3e – Pupa za Bupa

KShs215.00
Author: Pauline Kea ISBN: “9780195733846”

Swahili Readers: 3d – Atoke Asi...

KShs215.00
Author: Mary Mwangi ISBN: “9780195733495”

Swahili Readers: 3c – Afanyaye ...

KShs215.00
Author: A. S Yahya ISBN: “9780195730661”

Swahili Readers: 3b – Si Kupend...

KShs215.00

Si kupenda kwake 3b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Tatu katika shule za msingi. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mzaha, hotuba na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya uadilifu shuleni na kuwahurumia na kushirikiana na wenye upungufu.
  • n
  • Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.
  • n

Swahili Readers: 3a – Binti yak...

KShs215.00
Author: Islam Islam ISBN: “9780195730647”

Swahili Readers: 2f – Mwanasayansi

KShs200.00

Mwanasayansi 2f ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la pili katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.
Tami anataka kuwa mwanasayansi. Atafanya nini ili afikie ndoto yake?

Swahili Readers: 2e – Kesho! Ke...

KShs215.00
Author: Ahmed Hussein ISBN: “9780195734546”

Swahili Readers: 2d – Mgeni njoo!

KShs215.00
'Mgeni njoo!' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Kwanza katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, tanakali za sauti, kichekesho na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani, malezi, utoto, afya, stadi za maisha, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, haki za watoto na kuishi kwa utangamano.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 2c – Werevu wa...

KShs215.00
'Werevu wa Jumo' ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Pili katika shule za msingi. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • n
  • Hadithi mbili zenye kufunza utumiaji wa akili.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia vichekesho, mafumbo na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira tofauti tofauti.
  • n

Swahili Readers: 2b – Kipengo

KShs215.00
Author: Pamela Ngugi ISBN: “9780195730593”

Swahili Readers: 2a – Sungura M...

KShs215.00
Author: Islam Islam ISBN: “9780195730586”