Showing 41–47 of 47 results

Swahili Readers: 1f – Mwili Wangu

KShs215.00
Author: Kitula King’ei ISBN: “9780195738339”

Swahili Readers: 1e – Nipe Sababu

KShs215.00
Author: Naomi Musembi ISBN: “9780195734522”

Swahili Readers: 1d – Paka Mtundu

KShs215.00
Author: Naomi Musembi ISBN: “9780195734515”

Swahili Readers: 1c – Nyimbo Zetu

KShs215.00
Author: Boukheit Amana ISBN: “9780195730548”

Swahili Readers: 1b – Nikicheka...

KShs215.00
'Nikicheka anacheka' ni kitabu kinachonuiwa kuimarisha msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa katiko shule za msingi. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia nyimbo, vitendawili, picha za rangi za kupendeza na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira tofauti tofauti.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfututizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 1a – Matunda S...

KShs215.00
Author: Katama Mkangi ISBN: “9780195730524”

Swahili Readers: 1 – Maneno ya ...

KShs215.00
'Maneno ya Mwanzo' ni kitabu kinachonuiwa kujenga msingi thabiti wa kusoma. Kitabu hiki kimekusudiwa wanafunzi waliomaliza shule za chekechea na kuanza masomo yao katika shule za msingi. Kitabu hiki kinafaa kutumiwa na wanafunzi wa darasa la kwanza. n nSifa kuu za kitabu hiki ni kama zifuatazo: n
    n
  • Utambuzi wa herufi kuu za alfabeti ya Kiswahili.
  • n
  • Utambuzi wa maneno, hasa nomino na vitenzi.
  • n
  • Uhusishaji wa herufi kuu za alfabeti ya Kiswahili na neno pamoja na tungo. nKuzua uzoefu wa kutamka na kusoma herufi, maneno na sentensi za Kiswahili.
  • n
  • Uteuzi bora wa msamiati uliokadiriwa kwa mujibu wa kiwango cha darasa hili.
  • n
  • Kurahisisha ufahamu wa maneno kupitia picha zenye rangi za kuvutia na zenye kusisimua.
  • n
  • Kusoma sentensi sahali zenye miundo myepesi kulingana na matakwa ya silabasi.
  • n
  • Kujua maumbo ya herufi na namna maneno yanavyoandikwa kwa njia ya mistari.
  • n
nFauka ya yote haya, kumtangulizia mwanafunzi aliyemaliza shule ya chekechea na kujiunga na darasa la kwanza, kuanza kusoma vitabu vya kiada na ziada kwa njia nyepesi. Bila shaka, huu ni mwanzo wa kusoma kupitia ngazi tatu: kwa njia ya alfabeti, maneno na sentensi. n n'Maneno ya Mwanzo' ni kitabu kinachofaa kutumiwa pamoja na kitabu cha Kiswahili Sanifu, Darasa la Kwanza na la pili. udongo upatilize ungali maji.