![delivery delivery](https://nuriakenya.com/wp-content/uploads/elementor/thumbs/delivery-qtoyzu4kwamc4sp987wxx82zix8cqr24pwez70ul4k.png)
![delivery delivery](https://nuriakenya.com/wp-content/uploads/elementor/thumbs/delivery-qtoyzu4kwamc4sp987wxx82zix8cqr24pwez70ul4k.png)
QUICK DELIVERY
Swift dispatch
ONLINE PAYMENT
Multiple options
EXPERT SUPPORT
Help when you need it
WIDE VARIETY
Thousands of books
GLOBAL SHIPPING
Worldwide delivery
Let's Do Mathematics is a new series for the Competency Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners develop a positive attitude towards mathematics as a learning area and also appreciate its importance in their every day life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIs).
Cheupe anapotumwa msituni usiku, hana habari kuwa dada yake, Cheusi, pamoja na mama yake hawamtarajii nyumbani tena. Hata hivyo, kile ambacho Cheupe anakutana nacho msituni kinabadilisha maisha yake kabisa.
Cheupe na Cheusi ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wa kusoma na kuandika.
Mradi wa Kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.
Vituko vya Sungura 4d ni kitabu kinachotenga wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusomo. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:
nNo account yet?
Create an Account