Showing 1–20 of 47 results

ABCh Herufi za Kiswahili by Nasra Oma...

KShs1,000.00 KShs780.00

A Swahili alphabet book suitable for native Swahili-speaking toddlers who are beginning to learn the alphabet and children of all ages who are learning Swahili.

Kitabu hiki kinawafahamisha watoto herufi na maneno ya Kiswahili. Kinawafaa watoto wachanga waliolelewa wakizungumza Kiswahili kujifunza herufi na watoto wa rika zote wanaoanza kujifunza Kiswahili.

Swahili Readers: 8f – Falme Tisa

KShs310.00
Ufalme Mkuu unatawaliwa na Mfalme Sultan!. Aidha zipo falme nyingine tisa zinazoongozwa na mfalme yuyo huyo. Hata hivyo, kuna fununu kuhusu njama za mapinduzi dhidi yake. Juu ya yote, twaamini kuwa ipo siku ambapo Mfalme atatutoa juani atupeleke kivulini Falme Tisa ni mojawapo ya hadithi katika Mradi wa Kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8e – Vipawa vy...

KShs310.00
'Vipawa vya Hasina' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashibihi, tashihisi, takriri, kejeli, chuku, taswira, tanakali za sauti na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisna ya nyumbani, shuleni, kijijini na jijini, malezi, mila ya ndoa za wasichana wadogo, afya, ujana na matatizo yake, umuhimu wa teknolojia, habari na mawasiliano, michezo, uwajibikaji, stadi za maisha, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu, haki za watoto, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8d – Njia Panda

KShs310.00
'Njiapanda' ni kitabu kinachotenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, tamthitia ndani ya hadithi, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashibihi, tashihisi, taknn, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswati ya batagha. taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya ujana na matatizo yoke, maisha ya nyumbant, shuleni na hospitatini, matezi, afya, umuhimu wa teknotojia, habari na mawasiliano, uwajtbikaji, kazi, utu, uvumilivu, haki za binadamu na haki za watoto, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8c – Habari za...

KShs310.00
'Habari za Mawio' 8c ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya utambaji hadithi na hadithi ndani ya hadithi.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, mbinu rejeshi, vichekesho, utani, sajili (lafudhi) ya lugha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya kuwaheshimu watu wote, udugu, utamaduni, kujali wengine, haki na uadilifu, kazi na uwajibikaji, utu, afya (ukimwi, madawa ya kulevya), habari na mawasiliano.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8b – Je huu ni...

KShs310.00
'Je, huu ni uungwana?' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya shajara, tawasifu, barua, utambaji wa hadithi, mbinu rejeshi, hotuba kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dagolojia, misemo, methali, taharuki, tashihisi, tanakati za sauti, kejeli, vichekesho na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwatea wanafunzi katika mazingira ya afya, madawa ya kulevya, siasa, unyumba, ujirani mwema, uvumilivu, uadilifu, haki za watoto, kazi, uwajibikaji, utu, adabu, teknolojia, habari na mawasiliano.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfutulizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8a – Kisasi Ha...

KShs310.00
'Kisasi Hapana!' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani na vijijini, michezo, afya, umuhimu wa elimu, kuwaheshimu watu wazima na wazazi, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu na haki za watoto.
  • n

Swahili Readers: 7f – Msiba Wa ...

KShs285.00
Author: Pauline Kea ISBN: “9780195741995”

Swahili Readers: 7e – AH! Shang...

KShs285.00
Nanjira anajipata njiani tena,wakati huu kutoka mashambani kuelekea Nairobi. Ingawa kumbukumbu za maisha aliyoishi na wazazi wake zinamjia anapopata mjini Naivasha, ana raha ya kwenda kusomea Nairobi. Nani asingefurahia kusomea jijini? n nLakini kile ambacho Nanjira hajui ni kuwa shangazi yake, Mela, ana mpango tofauti. 'Ah! Shangazi Mela' ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vianaambatana na kozi ya kiswahili sanifu.

Swahili Readers: 7d – Atamlilia...

KShs285.00
'Atamlilia nani?' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo. methali, taharuki, tashibihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani, malezi, afya, hatari ya kupenda sana mtoto, ujana na matatizo yake, utajiri na matatizo yoke, madawa ya kulevya na matatizo yake, umuhimu wa teknolojia, habari na mawasiliano, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu, haki za watoto, haki za wanyama, ukuaji wa kijiji kuwa mji na matatizo yake, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ua Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 7c – Mashairi ...

KShs285.00
'Mashairi Bulbul' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Mashairi yaliyobeba maudhui anuwai,
  • n
  • Ubunifu wa mtunzi kutupambia mashairi kwa methali, mafumbo, masimulizi, tashihisi, takriri, tashbihi na taswira ili kutufunza na kupitisha ujumbe wake,
  • n
  • Mitindo, bahari na aina mbalimbali za mashairi kama vile tathnia, tathlitha, tarbia, takhmisa, ukumi, ngonjera. utenzi, wimbo, ukaraguni, ukawafi, kikwamba na sakarani,
  • n
  • Uangaziaji wa masuala ibuka kama vile dawa za kulevya, teknolojia, uadilifu, ushauri na nasaha, utatuzi wa matatizo, ubingwa wa lugha, vichekesho na burudani,
  • n
  • Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.
  • n

Swahili Readers: 7b – Mzizi wa ...

KShs285.00
Author: Said Mohamed ISBN: “9780195736526”

Swahili Readers: 7a – Nimlaumu ...

KShs285.00
'Nimlaumu nani?' ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo katika kusoma kwa wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya tamthilia.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia dayolojia, misemo, methali, taharuki, majadiliano, uhalisia, maswali anuwai, mbinu rejeshi na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya watoto wa mitaani au barabarani, kituo cha kuwalea na kuwarekebisha chokora, haki za watoto, umuhimu wa mtoto msichana katika jamii, kujitambua, kusaidiana, kushirikiana, kushauriana na maadili mema.
  • n

Swahili Readers: 6d – Ahsante y...

KShs270.00
'Ahsante ya Punda' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa to Sita katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya tamthlia na mbinu rejeshi, kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia dayolojia, misemo, methali, taharuki, kejeli, chuku, utani, wimbo, vichekesho, majina ya majazi na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani na kijijiini na matatizo yake, ujirani, mahakamani na mambo ya kisheria, stadi za maisha, uwajibikaji, kazi, utu, uaminifu, uadilifu, ushirikiano, haki za binadamu, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahiti Sanifu.

Swahili Readers: 6c – Ujasiri W...

KShs270.00
Tito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua. Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa. Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza kwao milele. Hatari hii ingemtenganisha na wazaziwe na nduguye, Jesi, daima. Tito aliogopa haya. Aliogopa sana. Ndiyo maana aliamua kujijasiri. Alijua kuwa ujasiri huu huenda ungemletea adhabu kali, lakini hakuwa na budi ila kujitwika ujasiri huu. Ilimbidi afanye lolote, ajikakamue, mradi tu ajiokoe! 'Ujasiri wa Tito' ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 6b – Maskini b...

KShs270.00

Maskini Bibi Yangu! ni kitabu kinacholenga wanufunzi wa darasa la Sita katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao kusoma.Miongoni mwa sifu za kipekee za kitabu hiki ni:masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya utambaji hadithi na usimulizi wa nafsi ya kwanza umoja.kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tanukali za sauti, vichekesho, utani, takriri, taswira nu picha za rangi zenye kusisimua.kuwapitisha na kuwalea wunufunzi katika muzingira ya kuwaheshimu watu wazima wenye uhusiano nao au wasiowahusu, maisha ya nyumbani, mazoezi, michezo na mashindano, kilimo, afya na hudumu ya kwanza, teknolojia ya mawasiliano, uwajibikaji, utu. uvumilivu na mandhari ya mijini na vijijini.

Swahili Readers: 6a – Nachora k...

KShs270.00
'Nachora kwa maneno' 6a ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Sita katika shule za msingi. Kitabu hiki kinaweza kutumiwa pia na wanafunzi wa Darasa la Saba. nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Mashairi mepesi yaliyobeba maudhui mbalimbali.
  • n
  • Ubunifu na umahiri wa mtunzi katika kufinyanga lugha na kuipamba kwa misemo, tashibihi, tashihisi, takriri, maswali ya balagha, methali, istiari, mafumbo, taswira ili itoe ujumbe na mafunzo tofautitofauti.
  • n
  • Mshairi ametuingiza katika mitindo na bahari mbalimbali ya kuwasilisha ujumbe kama vile tathnia, tathlitha, tarbia, takhmisa, tasdisa, ngonjera, majigambo na ushairi huru.
  • n
  • Mashairi yaliyomo humu yanakidhi mahitaji ya silabasi.
  • n
  • Kitabu hiki kinaangazia masuala ibuka kama vile UKIMWI, afya, madawa ya kulevya, mazingira, teknolojia, ufisadi, maafa (ugaidi, ukame, mafuriko), uadilifu, jinsia, ajira na haki za watoto.
  • n
  • Urahisishaji wa ufahamu wa mashairi kupitia picha zenye rangi za kuvutia na zenye kusisimua.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 5e – Mashairi ...

KShs255.00
"Sina chembe ya uzuri, mbali na mimi kaeni," ni mojawapo ya sifa anazojipatia mnyama huyu ambaye ni mmoja wa wanyama wanaozungumza kwenye kitabu hiki. Je, wanyama hawa wanasema nini kuhusu sifa zao? Je, wanaamini kuwa wana umuhimu gani kwa binadamu? Je, wanyama hawa wana malalamishi yapi kuhusu jinsi binadamu wanavyowachukulia? nKitabu hiki chenye mashairi ya kupendeza kinalenga kuwasaidia wanafunzi kutambua sifa na umuhimu wa wanyama mbalimbali. Kadhalika kitabu hiki kitawafunza wanafunzi kusoma na kufurahia ushairi. nMashairi ya Wanyama ni mojawapo ya vitabu katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na Kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 5d – Safari ya...

KShs255.00
Kaendi na nduguye, Mkangi, wanazidiwa na msisimko wa safari yao ya kwenda mjini Mombasa, kiasi cha kushindwa na kula chakula. Ziara hii ni ya maskauti wa Shule ya Msingi ya Bidii. Safari yao ya treni inajaa visa na vituko vya kufurahisha. Mkangi na rafikiye, Suleiman, wanapewa jukumu la kuilinda kambi huku wenzao wakiwa wamelala. Mnyama anayeonekana kama simba anatokea na kumshitua Suleiman... ni yapi yatajiri baada ya haya? n n'Safari ya Maskauti' ni mojawapo ya hadithi katika Mradi wa Kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 5c – Ndoto ya ...

KShs255.00
Author: Razwana Kimutai ISBN: “9780195730784”