Showing 1001–1020 of 20716 results

Musa na Bahati Nasibu

KShs460.00
Musa na King Kong wanakumbwa na uhitaji mkubwa wa pesa. Ili kukidhi haja hii, wanaibuka na wazo la kuandaa mchezo wa bahati nasibu. n nMusa analazimika kutafuta zawadi ya kushindaniwa katika shule yao, Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. n nIngawa wanafanikiwa kupata zawadi - gari kutoka kwa Nick Molo - mchezo wao unakumbwa na mashaka. n nKwanza, mwalimu mkuu, Mzee Mukibi, anawapokonya tiketi za mchezo. Kisha, inabainika kuwa gari lenyewe ni la kuibwa. n nPesa wanazozipata nazo zinaishia mikononi mwa hasimu wao ...

Musa Mpigakambi

KShs460.00
Musa na King Kong wanabaki bila mahali pa kulala baada ya ‘maonesho’ yao ya fataki kuteketeza kimakosa mabweni katika shule yao _ Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Walioathiriwa na mkasa huo wanalazimika kupiga kambi kwenye mahema ukingoni mwa mto. n nKatika harakati za kuchimba shimo la kutia mhimili wa hema, King Kong anachimbua mfuko wenye vito vya thamani. Pamoja na wenzake, wanashindwa kujiwekea siri ya ugunduzi huo mkuu, na muda si mrefu, wanajipata katika matatizo makubwa.

Musa Kwenye Harakati

KShs460.00
Wanafunzi katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen wanaenda nyumbani kwa likizo fupi. Hata hivyo. Musa na King Kong wana mpango tofauti. Wanaamua kuitumia fursa hiyo kujifurahisha mjini Tororo. n nWakiwa mjini Tororo, wanakutana na Finito anayewashawishi washiriki katika 'hafla' yake ya uponyaji (kwa malipo) na wanakubali. Musa anapanda jukwaani. Anapogeuka kuutazama umati uliojaa fujo, anakabiliana ana kwa ana na naibu wa mwalimu mkuu. Bw Karanja. Baada ya kufaulu kutoroka, na hata kuwakwepa polisi, wanaapa kufanya juu chini ili kuvuka mpaka. Je, hatima yao itakuwaje?

Musa na Rafiki wa Barua

KShs460.00
Ari ya kuwasiliana na marafiki wa barua inashabikiwa sana katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Si ajabu kwamba Musa na King Kong wamo katika wimbi hilo la msisimko. n nKando na hayo, Kasali — mvulana mgeni — anatengeneza mvinyo kwa mashine aliyoificha kwenye bweni. Kila anayeuonja anakiri kwamba ni mvinyo mzuri sana, na hata kuhusudu hall ya baadaye ya Kasali katika biashara ya mvinyo. Hata hivyo, majaribio anayoifanyia fomyula ya mvinyo huo inabadilisha pakubwa historia ya Taasisi ya Mukibi.

Musa kwenye Sokomoko

KShs460.00
"Kumleta mwanafunzi wa kike mahali kama hapa huenda kukawa balaa kubwa!" Anasema Bw Karanja, naibu wa mwalimu mkuu katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Bw. Mukibi, hata hivyo anaiona hiyo kuwa hatua nzuri sawa na wavulana wa shule hiyo pindi wanapopata habari hizo za kusisimua. n nJuli Sekabanja anaamua kwamba Musa na King Kong ndio wahusika hasa anaowahitaji ili kumsaidia kunasa genge la majasusi. n n'Musa kwenye Sokomoko' ni hadithi ya tano katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Musa Mashakani

KShs460.00
Visa na Vituko vya Musa ni tafsiri ya Moses Series vilivyoandikwa na Barbara Kimenye, na ambavyo vinaangazia hali ya maisha ya wanafunzi shuleni mwao. Mbali na kuwa vinaburudisha na kuchekesha kwa visa mbalimbali vinavyomkumba Musa, yapo mafunzo mengi anayopata msomaji. Tafsiri hizi zinadumisha mvuto na mnato wa kazi asilia, na zitakupa shauku ya kusoma hadithi yote ili kujua hatima ya kisa chenyewe. Si jambo geni kwa Musa kuwa mashakani. Safari hii, yeye na marafiki zake katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen wanafanya mgomo wa kimzaha kuhusu chakula wanachopewa shuleni. Mwanzoni, wanauona mzaha huo kuwa murua. Hata hivyo, Mwalimu mkuu, Bw Mukibi, hafurahishwi – yeye si mtu wa kuficha hisia zake.

Musa na Pepo

KShs460.00
Musa, King Kong na wanafunzi wengine wa Bweni nambari 3 hawaamini kwamba kuna pepo. Lakini gimba hili la kutisha linalonyapanyapa kwenye uga wa shule yao ni kitu gani? Madoadoa ya ajabu ya 'damu' yametoka wapi? Na ni nani anayetoa kicheko cha kutisha nje ya mlango wa nyumba ya Bi Namukasa? Naibu wa mwalimu mkuu, Bw Karanja, anaamini kuwa ni wanafunzi wa Bweni nambari 3 wanaofanya mzaha. Kwa hivyo Musa na wenzake wanaamua kufanya juu chini kumnasa pepo huyu la sivyo atawafanya watimuliwe shule. 'Musa na Pepo' ni kitabu cha sita katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Musa na Mildred

KShs460.00
Musa anatarajia mambo yamwendee vyema muhula huu, kinyume na masaibu yaliyotawala muhula wa kwanza katika Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Ana matumaini ya kumwonesha rafiki yake, King Kong, kipenzi chake, Mildred. Hata hivyo, mambo yanaanza vibaya na kutumbukia nyongo. Kwanza, kuna mvutana mgeni, Magara, ambaye ni dhatirnu. Kisha, King Kong anabwagwa kwenye kinyang'anyiro cha kiranja wa bweni. Halafu, Mildred anatoweka. 'Musa na Mildred' ni kitabu cha pill katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Musa na Watekanyara

KShs460.00
Siku ambayo mimi na King Kong tulitekwa nyara ilianza kama Jumamosi nyingine yoyote ile... Anasimulia, Musa, mwanafunzi mtundu zaidi ya wote nchini Uganda, mwanzoni mwa kisa chake cha nne. Naibu wa mwalimu mkuu, Bw Karanja, anaamua kuwa ni lazima marafiki hao, Musa na King Kong, wanyolewe. Wanapofika mjini asubuhi, wanafurahia uhuru wa kutokuwa shuleni - hadi gari aina ya Mercedes Benz linapotokea na kukatiza ghafla raha yao. n n'Musa na Watekanyara' ni kitabu cha nne katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa.

Musa

KShs460.00
Musa Kibaya anatimuliwa kutoka shule yake ya sita. Anahisi kwamba hii ni rekodi katika umri wake wa miaka kumi na mitano pekee, ingawa kwa namna fulani anaionea fahari. Hofu yake tu ni jinsi Mjomba wake, Silasi, atakavyolichukulia suala hili... n nSilasi anapogundua kutimuliwa kwake, anampeleka Musa katika shule yake ya saba, Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Kumbe, hapo ndipo vituko vya Musa vinapoanza. n'Musa' ni kitabu cha kwanza katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

Moses and the Ghost

KShs460.00

Is there really a ghost haunting Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen? Moses, his friend King Kong, and the rest of the gang in Dormitory 3 don't believe in ghosts. That is, they are pretty sure they don't. But then who, or what, is the weird white figure flitting about the school compound at night? Where did the mysterious bloodstains come from? And who was responsible for the sinister laughter outside Miss Namukasa's door?

The deputy headmaster, Mr Karanja, believes he has the answer to all these questions: it's Dorm 3 trying to be funny. So HM and KK, together with Rukia, Itchy Fingers and the rest, set out to grab the ghost before it gets them all expelled.

This is the sixth of Moses' witty chronicles of life in Uganda's most awful school.

Moses and the School Farm

KShs460.00
The idea of starting a school farm was not received with enthusiasm by the students at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Weren't they there to study for their examinations? But before they know what's happening, everyone is busy clearing land, planting, and weeding. What if they end up with blisters on their hands and aching muscles? What if the agricultural tools are as ancient as the hills? n nSoon Moses and his friends are in trouble once more. The pigs have escaped, six chickens have been stolen, a fox is on the loose, and the headmaster is determined to find the culprits. n n'Moses and the School Farm' is the eleventh title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.

Moses and the Raffle

KShs460.00
The idea of starting a school farm was not received with enthusiasm by the students at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Weren't they there to study for their examinations? But before they know what's happening, everyone is busy clearing land, planting, and weeding. What if they end up with blisters on their hands and aching muscles? What if the agricultural tools are as ancient as the hills? n nSoon Moses and his friends are in trouble once more. The pigs have escaped, six chickens have been stolen, a fox is on the loose, and the headmaster is determined to find the culprits. n n'Moses and the School Farm' is the eleventh title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.

Moses the Camper

KShs460.00
Moses and his friend, King Kong, set a dorm in their school, Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen, on fire - accidentally of course. Thus it is that the Dorm 3 inmates find themselves camping out in tents by the river and up to their necks in trouble. n nIt is while they are trying to push a tent pole into the stony ground that King Kong digs up a bag containing gold watches, bracelets, necklaces, rings, and six cameras in smart brown leather cases! n nNeedless to say, the boys are unable to keep their great discovery to themselves and, before long, they are involved with thieves and with the police as King Kong disappears. n n'Moses the Camper' is the ninth title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.

Moses on the Move

KShs460.00
It's half-term. Most of the boys at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen are going home for the holiday, but Moses and King Kong have a better plan. Why not sneak off and spend the weekend in Tororo, the nearby town, and have some fun by themselves while the staff think they're at home and their families think they are at school? n nIt's a great idea, but, as so often happens with the two friends' great ideas, things tend to go a bit wrong. First of all they meet Finito, a seedy-looking old man, but he's in a remarkably interesting line of business, and he offers the boys a well-paying job. It isn't really their fault that Finito shortly finds his business in ruins and himself on the run from the police. The boys too have their own problems: Mr Karanja, the school's deputy headmaster, is hot on their trail. n n'Moses on the Move' is the seventh title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.

Moses and the Penpal

KShs460.00
The craze for writing to penpals sweeps Mukibi's Institute for the Sons of African Gentlemen. Anywhere else, this would be a harmless enough hobby but at Mukibi's, even a letter can be dynamite. And, not surprisingly, Moses and King Kong are right in the middle of the explosion. n nThen there is the new boy, Kasali, who has an unusual hobby of his own. Hidden in the dormitory, he's set up a strange contraption for making wine. Everyone in Dorm 3 agrees it is very good wine, and that Kasali has a bright future ahead of him in the liquor business. Perhaps he has ... but before Kasali's wine makes him a fortune, it's destined to play a remarkable role in the history of Mukibi's Institute for the Sons of African Gentlemen. n n'Moses and the Penpal' is the eighth title in the adventures of Barbara Kimenye's mischievous Ugandan schoolboy.

Moses in Trouble

KShs460.00

It's nothing new for Moses to be in trouble. This time it all begins when he and his friends at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen stage a lighthearted protest about the school food.

Moses in a Muddle

KShs460.00
"A girl student in a place like this would be scandalous!" exclaims Mr Karanja, deputy headmaster of Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. Mr Mukibi, however, thinks it is a splendid idea and so do the boys when they hear the sensational news. n nMoses and King Kong, who are the first to meet Juli Sekabanja, are not so sure. But Juli has decided that the two friends are just the allies she needs to help her catch a gang of spies she claims to have discovered. Thinking of their share of the reward, they agree. n nBy the end of this hilarious adventure, even Mr Mukibi has changed his mind about the merits of co-education!

Moses and Mildred

KShs460.00
Readers of Moses will remember his disastrous first term at Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen. This term, however, Moses is hoping for the best and is looking forward to showing his pet, Mildred, to his friend, King Kong. n nBut things start badly and get worse. There's a new boy, Magara, who is a bully. Then King Kong loses the election for dormitory prefect. Then Mildred disappears... n n'Moses and Mildred' is the second title in the adventures of Barbara Kimenye's irresponsible Ugandan schoolboy.

Moses and Kidnappers

KShs460.00

The day King Kong and I were kidnapped started off like any other Saturday."

So writes Moses, Uganda's most notorious schoolboy, at the start of his yet another wild adventure.

The deputy headmaster, Mr Karanja, has decided that the two friends must have their hair cut. They spend a pleasant morning in town, enjoying the freedom from Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen - until a sleek Mercedes Benz appears and their 'holiday' comes to an abrupt end. Their hairstyle thrusts them deep into the criminal underworld and they only escape being sold into slavery by the skin of their teeth.

This is the fourth of Moses' witty chronicles of life in Uganda's most awful school.