Showing 1761–1780 of 19400 results

Utoro

KShs1,064.00
Binadamu amejikuta katika mbio kuutapia ulimwengu ili kutimiza ndoto zake na maslahi yake ya kibinafsi. Nao wakati unapita na kumwacha binadamu na mtapio wake. Ndoto huotwa, lakini si ndoto zote zinazotimia. Binadamu akipanga, taratibu za maumbile... By Nao wakati unapita na kumwacha binadamu na mtapio wake. Ndoto huotwa, lakini si ndoto zote zinazotimia.
Binadamu akipanga, taratibu za maumbile zinapangua, akijenga, ulimwengu unabomoa.
Lakini yote haya mwanadamu huyasahau akabaki na pupa ya

Lulu ya Maisha

KShs916.00
Lulu ya Maisha ni hadithi kuhusu Sue anayepoteza wazee wake kwa ajili ya janga la ukimwi. Baadaye analazimika kuingilia maisha ya dhiki ya kujitafutia riziki ya kila siku kwa kuuza plastiki kuukuu. Ni katika hali hii ya hatihati anapokumbana na... By

Sanaa ya Umalenga

KShs954.00
Mpaka sasa somo la mashairi ni somo ambalo linaogopewa sana. Wanafunzi na hata walimu huwa hawapendelei kusoma au kufundisha mashairi. Sababu mojawapo ni kuwa waandishi wa mashairi daima huwa wanaandika mashairi yao kwa lugha ngumu ambayo wasomaji... By

Migogoro

KShs825.00
Migogoro ni tamthilia inayomulika jamii ya leo. Inabainisha migogoro iliyomo baina ya watoto na wazazi; wanaume na wanawake; walemavu na wasio walemavu; wenyeji na wageni; binadamu na mazingira. Migogoro hii inatishia kuivunja jamii na kusababisha... By wanaume na wanawake; walemavu na wasio walemavu; wenyeji na wageni; binadamu na mazingira.
Migogoro hii inatishia kuivunja jamii na kusababisha maangamizo. Wanawake wenye ujasiri
wanajitokeza na kuanzisha harakati za kuondoa umaskini, kutunz

Uhakiki wa Tamthilia: Historia na Mae...

KShs858.00
Tamthilia ya Kiswahili imekua na kuendelea kifasihi kwa mapana na marefu. Kitabu hiki kinashughulikia tamthilia ya Kiswahili - historia na maendeleo yake. Kwa kufanya hivyo, kitabu hiki kinaiweka tamthilia ya Kiswahili katika mkabala wake.... By Kiswahili - historia na maendeleo yake. Kwa kufanya hivyo, kitabu hiki kinaiweka tamthilia ya Kiswahili katika mkabala wake.
Mwandishi wa kitabu hiki anachambua tamthilia kama Uasi, Visiki, Wingu
Jeusi, Mashetani, Amezidi, na anadhihirisha kw

Case Study Research in Counselling an...

KShs4,960.00
Case-based knowledge forms an essential element of the evidence base for counselling and psychotherapy practice. This book provides the reader with a unique introduction to the conceptual and practical tools required to conduct high quality case... By

Dau la Angelika

KShs1,250.00
Umetia doa taadhima na sifa njema ya Klabu Sambe na Jambe kwa kujifanya kinyaunyau wa kuwatia meno na kucha wateja mashuhuri Enhe! Mwadhamu Kimbaumbau, mwasisi wa Klabu Sambe na Jambe, sikusudii jeuri, lakini je, una binti kweli? Angenyanyaswa... By

Retail Business Management:Theory and...

KShs3,166.00
Modern Retail is making an assault on India. Over the next few years we are likely to see the most impressive success stories within the worldwide retail industry. We are undoubtedly going to see dramatic failure as well. The opportunity that is... By

Secondary Biology form four students&...

KShs1,171.00
Form 4 Biology New Syllabus Revised EditionPublisher: Kenya Literature Bureau By

The Evolving World Form 3

KShs1,450.00
They say a journey of a thousand miles starts with a single stride. The Evolving World takes you through a journey of millions of years.After introducing himself, Early Man relates to you the stages he went through as he evolved from a... By