Showing 321–340 of 20709 results

Msamiati wa utahini, sarufi na matumi...

KShs300.00
  • Kitabu hiki kinafafanua msamiati unaotumika katika mitihani ya kiswahili...102/2 Ili mwanafunzi aelewe na kufasili swali, ni lazima auelewe msamiati uliotumika. Msamiati uliojadiliwa ni kama: Ainisha, Bainisha, Yakinisha, Tofautisha, Tunga, Linganua, Andika upya, Sahihisha n.k Aidha, maswali ya KCSE 2010-2023 yamo kulingana ma kila msamiati.

Ivila The Lazy Gardener by James Mwau...

KShs348.00
Ivila lost a job when he cut an old tree. His employer had given him the duty of clearing the compound of the tree's  dry leaves. This book is recommended for  children that are between  nine and twelve  years old.

Christmas colouring book

KShs1,300.00 KShs1,200.00
Christmas Activity Book For Kids Ages 4-8: More than 100 Christmas Activities: More than 100 Pages of Fun Christmas Activities: Mazes, Word Search, Dot .

Christmas colouring book

KShs1,300.00 KShs1,000.00
Christmas Activity Book For Kids Ages 4-8: More than 70 Christmas Activities: More than 70 Pages of Fun Christmas Activities: Mazes, Word Search, Dot .

Activated Husband – Unmasking a...

KShs2,000.00 KShs1,500.00
ACTIVATED HUSBAND is a transformative guide for men, offering a fresh perspective on husbandhood rooted in biblical wisdom. The book dismantles common misconceptions and introduces the concept of the "activated husband," who, like an activated charcoal.

Jumbo Christmas Family Edition

KShs1,500.00 KShs1,300.00
Jumbo Christmas family edition is the book to grab for a fun filled activities to bond with your family. Join other families in the family bonding challenge. Large print colouring pages, mazes, and fun filled Christmas word puzzles.

The Oasis of Hope: The Legendary Educ...

KShs1,500.00 KShs1,000.00
The Oasis of Hope: The Legendary Educationist Brother John Koczka by Sebastian Mbae

Sinema ya Karate

KShs330.00
Kadiri anaingiwa na wasiwasi kutokana na mabadiliko katika tabia ya rafiki yake. Anashangaa anapomwona rafiki yake akitoweka kama moshi baada ya masomo ya kila siku kuisha. Kitendo cha rafiki yake kinamtia ari ya kutaka kufahamu ni kitu gani kinachomtoa mwenzake mbio. Juhudi zake za kutaka kujua anakoenda rafiki yake wakati wa mazoezi ya karate yanaambulia patupu. Kwa sababu hiyo, anaapa kufanya juu chini ili apate kujua kinachoendelea na sababu za rafiki yake kubadilika. n nJe, Kadiri atapata kujua kinachomfanya rafiki yake kubadilika? Je, atafanya nini ili kuweka wazi kinachoendelea? Je, ni nini kitatendeka atakapogundua kinachoendelea? nSinema ya Karate ni kisa cha kiupelelezi. Kisa hiki kinaangazia masuala ya malezi, elimu, uhifadhi wa mazingira miongoni mwa masuala mengine katika jamii. Kisa hiki kimesheheni mbinu na mitindo mbalimbali ambayo itamfaidi mwanafunzi katika kujenga lugha na ubunifu wake.

360° Atlas for Junior Schools

KShs1,300.00
The 360° Atlas for Junior Schools is a well-researched atlas and the most up-to-date reference book for Social Studies. The atlas offers the following: n
    n
  • Content that is aligned with the Social Studies curriculum designs for grades 7 to 9.
  • n
  • Many rich, varied and up-to-date thematic maps on various Social Studies themes.
  • n
  • Clear keys that make it easy to identify features on the maps.
  • n
  • Fact sheets and concise notes that are tailored to deepen the understanding of Social Studies concepts.
  • n
  • Relevant, quality photographs that cover a wide range of Social Studies themes.
  • n
  • Select digital content to reinforce key concepts.
  • n
  • 'Self-check' sections, which contain numerous interactive activities that encourage the learners to engage actively with the content in the atlas.
  • n
  • 'Did you know?' sections that present interesting facts related to specific Social Studies themes.
  • n
  • A simple design that enhances readability.
  • n

The Broken Mask

KShs380.00
In the heart of Nairobi's Matebele's slums, a new dawn seems to be coming, with the promise of one of their own winning the MP seat. Mansa Kamai, a typical example of a rags-to-riches story, is the people's darling. However, deep-seated revelations threaten to crush the people's dreams. Mansa finds his life under scrutiny and is desperate to survive. Will the people of Matebele get the justice they rightly deserve? The Broken Mask is a story that explores hypocrisy, family dynamics, and the complex world of politics, misuse of power and corruption. n nStarlit Readers is a series targeting Junior School learners in the Competency-Based Curriculum (CBC). The series is also recommended for other readers looking for modern stories told in a powerful and highly refreshing fashion. The books in this series will certainly keep you turning the pages.

Sikukuu Nzuri

KShs205.00
Sikukuu Nzuri ni hadithi inayoangazia msamiati wa vyakula. Lola na wenzake wanajadili kuhusu chakula ambacho wangependa kula siku ya sikukuu. Je, watachagua vyakula gani? n nSoma Nasi ni msururu wa hadithi zilizoandikwa kwa kuzingatia mada mbalimbali. Hadithi hizi zitawawezesha wanafunzi wenye uwezo tofautitofauti kuimarisha stadi za lugha walizojifunza darasani. Wanafunzi watafurahia kuzisoma hadithi hizi kwa lengo la kujiburudisha na pia kufanya mazoezi ya stadi za lugha.

Fani ya Fasihi Simulizi kwa Gredi ya ...

KShs916.00
Fani ya Fasihi Simulizi kwa Gredi ya 7, 8 na 9 kimeandikwa kwa utaalamu mkubwa ili kufanikisha kikamilifu ufundishaji na ujifunzaji wa fasihi simulizi katika kiwango hiki. Kitabu hiki kimeshughulikia kwa kina na kwa njia ya wazi na nyepesi tanzu na vipera vya fasihi simulizi katika mtaala wa Gredi ya saba hadi Gredi ya Tisa. n nKatika kitabu hiki, utapata: n
    n
  • Ufafanuzi wa kina wa dhana ya fasihi kwa jumla na hususan fasihi simulizi.
  • n
  • Uchanganuzi wa kina wa tanzu na vipera lengwa vya fasihi simulizi na mifano maridhawa.
  • n
  • Tunga za kuchanga, kusisimua na vilevile kurahisisha ujifunzaji.
  • n
  • Shughuli zenye kushirikisha kikamilifu katika ujifunzaji.
  • n
  • Tathmini endelevu za kumwezesha mwanafunzi kujitathmini na kutathminiwa na wenzake au na mwalimu.
  • n
  • Tathmini ya mwisho wa sura ili kumpa mwanafunzi picha ya jumla kuhusu kiwango chake cha ufahamu wa utanzu na kipera husika.
  • n
  • Mazoezi murua yanayochochea ujifunzaji huku yakipima ngazi zote za maarifa au utambuzi.
  • n
  • Tathmini tamati yenye mazoezi na maswali anuwai yatayomwezesha mwanafunzi kupima umilisi wake na kumtayarisha kwa Tathmini ya Mwisho wa Gredi ya Tisa- KJSEA.
  • n
  • Majibu kwa Tathmini tamati ili kumwelekeza mwanafunzi kubuni mikakati ya kujiboresha.
  • n
nDkt. Assumpta K. Matei ni msomi mwenye tajriba pana katika masuala ya elimu, utafiti, ufundishaji na tathmini. Ana uzoefu mkubwa katika ufundishaji wa Isimu, Lugha na Fasihi ya Kiswahili nchini Kenya. Baadhi ya vitabu alivyoandika ni pamoja na: Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili na Zawadi ya Thamani (novela). Vilevile, amashirikiana na wengine kuandika vitabu kama vile: Jipe Moyo (Diwani ya Mashairi), Kamusi ya Watoto na Upeo wa Ufahamu na Ufupisho.

Temo dukani

KShs125.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.

Mchoro wa Naseku

KShs100.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.

Matunda ni Afya

KShs100.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.

Rama na Karembo

KShs100.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.

Michezo yetu

KShs100.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.

Masomo yetu

KShs100.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.

The Tap is Dry (Copy)

KShs100.00
Simba Readers are a fun and fresh way for learners in ECD centres to learn easily. These creative books have pictures that are attractive. These readers are designed to enable the learner to develop word recognition‚ and help them to decode words and identify language patterns.

Pipi za Lona

KShs100.00
Vitabu katika Mradi wa Kusoma wa Simba vinalenga kuwapa wanafunzi wa chekechea msingi thabiti wa stadi ya kusoma. Vitabu hivi vinamlenga mwanafunzi ambaye anaanza kutambua herufi, silabi na maneno ambayo yanaweza kutambulika moja kwa moja. Vitabu hivi vina picha na urudiaji wa maneno ili kumsaidia mwanafunzi kusoma kwa wepesi. Kila hadithi ina wazo moja tu.