Showing 441–460 of 20710 results

Map Reading and Photograph Interpreta...

KShs620.00
'Map Reading and Photograph Interpretation' (Revised Edition) fully meets the needs of Geography students in the areas of map reading and interpretation of photographs. n nThis edition contains: n
    n
  • 16 full-colour maps,
  • n
  • 22 photographs (6 of which are in full colour, in line with the new trend in examinations),
  • n
  • Numerous questions set in the examination style,
  • n
  • Practical activities that reinforce what is learnt,
  • n
  • Several diagrams and sketches to augment concepts as well as for classroom study,
  • n
  • In-depth exploration of various concepts presented in simple language.
  • n
nThe book is ideal for class reference as well as for personal study.

360° Atlas for Secondary Schools 3rd Ed

KShs1,020.00
360° Atlas, Third edition, is a culmination of extensive and intensive research. It is the most up-to-date resource for geographical and cartographical facts for students in Secondary Schools, as well as other users in the region

Essential Germany Dictionary

KShs1,265.00
Author: Oxford ISBN: “9780199576395”

Essential French Dictionary

KShs1,265.00
Author: Oxford ISBN: “9780199576388”

Insha Ya Siri

KShs340.00
Author: Wendo Nabea ISBN: “9789914443172”

Swahili Readers: 8f – Falme Tisa

KShs310.00
Ufalme Mkuu unatawaliwa na Mfalme Sultan!. Aidha zipo falme nyingine tisa zinazoongozwa na mfalme yuyo huyo. Hata hivyo, kuna fununu kuhusu njama za mapinduzi dhidi yake. Juu ya yote, twaamini kuwa ipo siku ambapo Mfalme atatutoa juani atupeleke kivulini Falme Tisa ni mojawapo ya hadithi katika Mradi wa Kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8e – Vipawa vy...

KShs310.00
'Vipawa vya Hasina' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashibihi, tashihisi, takriri, kejeli, chuku, taswira, tanakali za sauti na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisna ya nyumbani, shuleni, kijijini na jijini, malezi, mila ya ndoa za wasichana wadogo, afya, ujana na matatizo yake, umuhimu wa teknolojia, habari na mawasiliano, michezo, uwajibikaji, stadi za maisha, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu, haki za watoto, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8d – Njia Panda

KShs310.00
'Njiapanda' ni kitabu kinachotenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, tamthitia ndani ya hadithi, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashibihi, tashihisi, taknn, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswati ya batagha. taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya ujana na matatizo yoke, maisha ya nyumbant, shuleni na hospitatini, matezi, afya, umuhimu wa teknotojia, habari na mawasiliano, uwajtbikaji, kazi, utu, uvumilivu, haki za binadamu na haki za watoto, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8c – Habari za...

KShs310.00
'Habari za Mawio' 8c ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya utambaji hadithi na hadithi ndani ya hadithi.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, mbinu rejeshi, vichekesho, utani, sajili (lafudhi) ya lugha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya kuwaheshimu watu wote, udugu, utamaduni, kujali wengine, haki na uadilifu, kazi na uwajibikaji, utu, afya (ukimwi, madawa ya kulevya), habari na mawasiliano.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8b – Je huu ni...

KShs310.00
'Je, huu ni uungwana?' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya shajara, tawasifu, barua, utambaji wa hadithi, mbinu rejeshi, hotuba kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dagolojia, misemo, methali, taharuki, tashihisi, tanakati za sauti, kejeli, vichekesho na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwatea wanafunzi katika mazingira ya afya, madawa ya kulevya, siasa, unyumba, ujirani mwema, uvumilivu, uadilifu, haki za watoto, kazi, uwajibikaji, utu, adabu, teknolojia, habari na mawasiliano.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfutulizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 8a – Kisasi Ha...

KShs310.00
'Kisasi Hapana!' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. n nMiongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani na vijijini, michezo, afya, umuhimu wa elimu, kuwaheshimu watu wazima na wazazi, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu na haki za watoto.
  • n

Swahili Readers: 7f – Msiba Wa ...

KShs285.00
Author: Pauline Kea ISBN: “9780195741995”

Swahili Readers: 7e – AH! Shang...

KShs285.00
Nanjira anajipata njiani tena,wakati huu kutoka mashambani kuelekea Nairobi. Ingawa kumbukumbu za maisha aliyoishi na wazazi wake zinamjia anapopata mjini Naivasha, ana raha ya kwenda kusomea Nairobi. Nani asingefurahia kusomea jijini? n nLakini kile ambacho Nanjira hajui ni kuwa shangazi yake, Mela, ana mpango tofauti. 'Ah! Shangazi Mela' ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vianaambatana na kozi ya kiswahili sanifu.

Swahili Readers: 7d – Atamlilia...

KShs285.00
'Atamlilia nani?' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
  • n
  • Kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo. methali, taharuki, tashibihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti na picha za rangi zenye kusisimua.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani, malezi, afya, hatari ya kupenda sana mtoto, ujana na matatizo yake, utajiri na matatizo yoke, madawa ya kulevya na matatizo yake, umuhimu wa teknolojia, habari na mawasiliano, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu, haki za watoto, haki za wanyama, ukuaji wa kijiji kuwa mji na matatizo yake, kuishi kwa utangamano na amani.
  • n
nMradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ua Kiswahili Sanifu.

Swahili Readers: 7c – Mashairi ...

KShs285.00
'Mashairi Bulbul' ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Mashairi yaliyobeba maudhui anuwai,
  • n
  • Ubunifu wa mtunzi kutupambia mashairi kwa methali, mafumbo, masimulizi, tashihisi, takriri, tashbihi na taswira ili kutufunza na kupitisha ujumbe wake,
  • n
  • Mitindo, bahari na aina mbalimbali za mashairi kama vile tathnia, tathlitha, tarbia, takhmisa, ukumi, ngonjera. utenzi, wimbo, ukaraguni, ukawafi, kikwamba na sakarani,
  • n
  • Uangaziaji wa masuala ibuka kama vile dawa za kulevya, teknolojia, uadilifu, ushauri na nasaha, utatuzi wa matatizo, ubingwa wa lugha, vichekesho na burudani,
  • n
  • Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.
  • n

Swahili Readers: 7b – Mzizi wa ...

KShs285.00
Author: Said Mohamed ISBN: “9780195736526”

Swahili Readers: 7a – Nimlaumu ...

KShs285.00
'Nimlaumu nani?' ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo katika kusoma kwa wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: n
    n
  • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya tamthilia.
  • n
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia dayolojia, misemo, methali, taharuki, majadiliano, uhalisia, maswali anuwai, mbinu rejeshi na sentensi fupifupi.
  • n
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya watoto wa mitaani au barabarani, kituo cha kuwalea na kuwarekebisha chokora, haki za watoto, umuhimu wa mtoto msichana katika jamii, kujitambua, kusaidiana, kushirikiana, kushauriana na maadili mema.
  • n

NPPE: RS.8s – The Alien Attack

KShs315.00
The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. n nThe storybooks for each grade are specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the child has fun that's built to last.